Taasisi ya Jakaya Kikwete ya Magonjwa ya Moyo JKCI imesema inatarajia kuanzisha Matawi ya Tiba Kwenye Nchi jirani zikiwemo Zambia, DRC na Malawi Ili kufikisha Huduma zake za kibingwa huko.
Aidha wamedai wataanzisha Matawi ya Kanda ya Arusha na Chato Kwa minajiri hiyo hiyo.
Kwa kuutazama Kwa...
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dr. Richard Kisenge amesema kuwa kupitia huduma ya tiba mkoba inayotambulika kama (Dkt. Samia Suluhu Hassan Outreach Service), tayari imifika karibia mikoa 16 nchini na kuhudumia watu takribani elfu 16,000 ambapo kati ya watu hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.