Wakuu,
Baadhi ya wananchi wa Manispaa ya Iringa wanalalamikia kundi la watu waliotajwa kama Mgambo kuvamia na kuvunja Vibanda, nyumba na kuharibu mali mbalimbali ikiwamo na kuvunja jiwe la msingi la CCM na kuchana picha ya Rais Samia Suluhu Hassan na Hayati Magufuli.
Zoezi hili linadaiwa...