Wakuu,
TAARIFA KWA UMMA
Tanzania imepata fursa na heshima ya kuwa nchi mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy Summit) utakaofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 27-28 Januari, 2025.
Mkutano huo unaandaliwa kwa pamoja baina ya Serikali ya Tanzania, Benki...