Mkutano wa Kumi na Saba wa Bunge utaanza kesho Jumanne tarehe 29 Oktoba 2024 na kumalizika tarehe 8 Novemba 2024 Jijini Dodoma.
Shughuli ambazo zinatarajiwa kufanyika wakati wa Mkutano huu ni pamoja na:
1.0 Kupokea na kujadili taarifa za Kamati za PAC, LAAC NA PIC
Katika Mkutano huu, Bunge...