Mbinu pekee ambayo CCM wanaweza kuitumia ili kushinda uchaguzi ni kumtumia Mtaalam wa kubadili matokeo Abdulrahman Kinana, kwenda kuiba kura, tena baada ya kuteketeza labda nusu ya Wakazi wake, bali kwa uchaguzi wowote ule, hata Msimamizi akiwa Jecha au Dkt. Mahera ccm haitoboi.
Tunajua...