Baada ya Mahakama kutenda haki na kuwavua uongozi waliodhulumu Timu na kujimikisha kinyume cha sheria, Viongozi hao Mamluki wanatangaza kuitisha mkutano na Waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Yanga ili kupotosha jamii.
Kwa vile hawa wameenguliwa na Mahakama kihalali hatuoni uhalali wao wa...