mkuu wa mkoa makonda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Vunja mifupa ngumu bado meno ipo, Makonda sasa umekwiva

    Nimesikiliza kwa makini hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda. Hakika ana mabadiliko makubwa sana na amezungumza kwa weledi. Amejitahidi kuelezea na kuangazia maswala ya kiuchumi na miradi ya maendeleo inayoendelea Arusha kwa Sasa. Ameongea kiume na kwa haiba ya uongozi na hakika ana...
  2. Suley2019

    Makonda aomba kupangiwa kazi nyingine Januari 2025

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuanzia sasa hadi Januari 1, 2025 atakuwa amekamilisha kazi ya kuwanyoosha watumishi wa umma wasiokuwa wazalendo na wanaotanguliza masilahi yao binafsi. Makonda amemwomba Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi kwenda...
Back
Top Bottom