mkuu wa upelelezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Upelelezi wa kesi ya kuchana noti zenye thamani ya Bilioni 4.6 iliyoanza mwaka 2020, bado unaendelea

    Wakuu, Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili watu 13, wakihusishwa na uharibifu wa noti zenye thamani ya Sh4.6 bilioni, bado unaendelea. Kesi hiyo, ambayo imekuwa ikifuatiliwa kwa muda mrefu, ilitajwa leo Alhamisi, Februari 20, 2025, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Kwa...
  2. JanguKamaJangu

    Malisa aripoti Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi, ajulishwa kuwa upelelezi haujakamilika

    Upelelezi wa kesi ya uchochezi na kutoa taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii inayomkabili mwanaharakati na Mkurugenzi wa GH Foundation, Godlisten Malisa bado haujakamilika. Malisa ameripoti leo Juni 18, 2024 katika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kilimanjaro (RCO) baada ya kupewa...
Back
Top Bottom