mliooa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

    Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa). Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka...
  2. Hyrax

    Mliooa Single mother na wale wenye mpango huo, hebu msikilizeni huyu mwamba

  3. M

    Kwa mliooa mademu zetu asee jitahidini kuwakaza vizuri wake zenu! Wanawake wenu wanatukumbuka huku

    Huyu manzi alishaolewa but bado ananichek na kunikumbuka jinsi nilivyokuwa namkunja ipasavyo! sasa huko alipoolewa kakuta hakuna kitu dah hizi ndoa hizi 😁😁 Wanangu wa kataa ndoa back up yenu muhimu waliooa wakianza kunishambulia 😁😁
  4. Mwamuzi wa Tanzania

    Leo naamka na watu wajinga wanaotaka kufanya sherehe kubwa kwa kuwachangisha wengine

    Moja kwa moja kwenye mada. Jana wakati naingia ofisini nakuta kadi ya mchango wa harusi mezani nikaambiwa na mfanyakazi mwenzangu kuwa ni yangu. Nafunua ndani nakuta haina hata jina Iko plain na wanaooana siwajui. Nikamuuliza yule mfanyakazi mwenzangu vipi mbona haina jina? Akasema wewe andika...
  5. Gaddaf i06

    Mliooa, hii hali mnaichukuliaje kwa Wanawake?

    Habari za wakati huu, Nipo safarini kwa muda mrefu kidogo, niko mbali na wife. Huyu mke wangu naona sasa anataka kunikera[emoji16], yaani kila muda sms-simu, sms-simu dah Nampigia tunaongea saana, tunapiga stori sana, lakini kila baada ya muda kidogo huyoo kabeep! Nikipiga hana jipya lolote...
  6. Gaddaf i06

    Swali kwa Mliooa wanawake wenye watoto

    Ndg zangu ambao hatujuani mliomo humu, na wanachama wengne wote, hope mko vizuri. bila mambo mengi naomba nifanye kilichonileta hapa: je siku watoto wa mkeo wakianza kukudhihaki na kukudharau kwa namna yoyote, utachukua hatua gani? na kama hali hiyo iliwahi kukutokea ulijisikiaje, na ulifanya...
  7. financial services

    Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

    Hello wakuu!, Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti...
  8. Carleen

    Kwanini wanaume waliooa huwasiliana na marafiki zao wa kike wiki chache baada ya ndoa?

    Merry Christmas Dears, Ndugu zetu wa kiume mliooa, naombeni mnisaidie kunifahamisha kitu gani huwa kinafanya baadhi yenu mrudishe attention kwa kasi kwa washikaji zenu (hasa wa kike) miezi kadhaa baada ya kuoa na wakati miezi ya awali huwa mnawafungia vioo na kuwapotezea kabisa, baada ya muda...
  9. Mukulu wa Bakulu

    Wanaume mliooa jitahidini kutimiza wajibu wenu kadri inavyowezekana

    Huu ni ushauri kwa wanaume wenzangu mliooa, jitahidini kadri ya uwezo wenu kutimiza wajibu wenu. Naomba niwakumbushe, hakuna mwanamke rahisi kutongoza na kumla kama mke wa mtu, ni rahisi sana. Lakini pia hakuna mwanamke mgumu wa kumtongoza na ukamla kama mke wa mtu ambae mume wake anatimiza...
  10. Mr Chromium

    Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

    Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda! Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu Wengine wanadai ni waaminifu sanaa n.k Nimeona niombe experience. Eehh KAMA UMEOA AU UNADATE...
Back
Top Bottom