mlipuko wa marburg kagera

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Rais Samia alisema aliyegundulika na Marbug ni moja, huyu wa pili ametokea wapi?

    Siku ya Jumatatu, Januari 20, 2025 Rais Samia, alithibitisha kuwa mtu mmoja amekutwa na maambukizi ya virusi vya Marburg (MVD) katika Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera. Leo imetoka taarifa kuwa mtu mmoja kati ya wawili waliobainika na ugonjwa wa Marburg aliyekuwa akipatiwa matibabu katika...
  2. Torra Siabba

    Rais Samia athibitisha mmoja kugundulika na maambukizi ya virusi vya Marburg nchini

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mtu mmoja amekutwa na maambukizi ya virusi vya Marburg (MVD) katika Wilaya ya Biharamuro mkoani Kagera. Taarifa hiyo inakuja siku sita tangu Shirika la Afya Duniani (WHO) liweke wazi kuhusu watu wanane kufariki dunia kutokana na ugonjwa unaoshukiwa...
  3. Influenza

    WHO: Watu nane wamefariki Kagera kwa ungojwa unahisiwa kuwa ni Marburg

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko unaoshukiwa kuwa wa virusi vya ugonjwa wa Marburg umewaua watu wanane katika mkoa wa Kagera Kaskazini magharibi mwa Tanzania. Taarifa ya shirika hilo iliyochapishwa mtandaoni inasema kuwa mnamo tarehe 10 Januari 2025 ''WHO ilipokea ripoti za...
Back
Top Bottom