Wasalaam wakuu!
Kwanza kabisa Nakubaliana na ushauri wote wakitabibu kuhusu aina sahihi ya chakula na namna nzuri ya ulaji kutoka kwa Daktari bingwa na mkuu wa kitengo cha magonjwa ya moyo professor mohamed Yakub Janabi.
Namimi baada yakumsikiliza na kuanza kufuatilia miongozo yake nikaamua...