Mheshimiwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, hizi ni Hospitali pacha zenye uzoefu wa uzembe zina matatizo haya matatu;
Madaktari Wazoefu kuhangaikia Hospitali za Mitaani kuliko mwajili wao
Kuwatumia Wanafunzi kujifunza bila Daktari mzoefu mbele ya mgonjwa
Madawa ’feki’ kwa wingi ndani ya Hospitali...