mnada wa mbuzi kibamba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO Miundombinu ya vyoo Mnada wa Mbuzi - Kibamba ni kichefuchefu! Mamlaka za Afya Wilaya ya Ubungo mpo wapi?

    Salamu Wakuu, Kwa waliowahi kufika Kibamba kwenye mnada maarufu wa nyama tamu ya mbuzi, bila shaka mtakuwa mmekutana na changamoto kubwa ya miundombinu duni – hasa vyoo. Hali ni ya kusikitisha. Vyoo havina maji tiririka, vinyesi vinaonekana waziwazi, na mazingira ni machafu kupindukia. Vibanda...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…