Binafsi nakerwa sana na watu wenye "line" lukuki za simu. Unakuta mtu ana line ya voda, tigo, airtel, zantel nk. Zote izo za kazi gani?? Matokeo yake kila ukimtafuta mtu utasikia mara..
"Nicheki kwenye airtel hiyo Voda haina chaji.."
"Nipigie namba ya tiGo, airtel nimeacha nyumbani"
"Hela...