Mbunge Mnyaa aishangaa serikali kuhusu maagizo ya Richmond
Na Kizitto Noya, Bukoba
MJUMBE wa Kamati ya Bunge iliyochunguza zabuni ya kufua umeme wa dharura iliyoipa ushindi Kampuni ya Richmond, Habib Mnyaa, amesema haridhiki na kasi ya serikali katika kutekeleza mapendekezo ya Bunge kuhusu...