WAKULIMA nchini wameshauriwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na taasisi za kilimo pamoja na kibenki zinazolenga kuwawezesha kukuza mnyororo wa thamani katika sekta na hatimae kuchangia pato la taifa.
Haya yameelezwa mkoani dodoma katika maonesho ya kilimo na ufugaji maarufu nane...
Mafanikio yanabebwa na kila jitihada zozote za kuongeza thamani (branding) ya kitu au mtu. Ukiwa kama kijana mwenye ndoto za kuyafikia mafanikio unapaswa kuhakikisha una ongeza thamani kwa kila utakachokifanya.
Tukianza na vitu vya kawaida kabisa, mfumo wa maisha ya kila siku uvaaji, ulaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.