Katika nchi nyingi za demokrasia halisi uongozi wa vyama vya siasa huwa unabadilishwa punde tu baada ya matokeo ya uchaguzi, hicho ndicho kipindi kizuri cha kufanya tathmini ya uongozi kutokana na performance baada ya uchaguzi.
CHADEMA kuwa inafanya mabadiliko ya uongozi mwaka mmoja kabla ya...
Ile mirindimo ya makombora mazito mazito kama ya Tora Bora sasa imetulia. DRC wanasema angalau sasa kunaonekana "ukimya."
"Ukimya" si amani. Bali kila mmoja atakuwa kwenye kuhesabu wafu wake na kutibu majeruhi.
Matokeo ya vita:
1. Kule kuna kongamano kujadili agenda zenye maslahi makubwa mno...
Jamaa wanapigana kwa mizuka ya balaa............
Fighting between forces loyal to Sudan's rival generals on Friday rocked the western region of Darfur, witnesses said, on the fourth day of a fragile US-Saudi-brokered ceasefire.
The one-week truce, the latest in a series of agreements that have...
Yafuatayo ndio nimejifunza kutokana na hotuba ya Jana.
1. Rais amekasirishwa na maoni yaliyotolewa na speaker Ndugai kuhusu mikopo.
2. Rais amemshambulia speaker Ndugai at individual capacity na sio Kama speaker kwenye maoni kuhusu mikopo.
3. Rais amehaidi kukopa zaidi na mpaka Sasa wamepata...
#Hakika Jf ni mnyukano, Nami ni nani nisiunge mkono.
Kilicho bora milioni tano, kuwa balozi si kibano.
Nitashinda huu mtifuano, ukinipa hiyo yako tano.
Kwa maandishi Ambatano, na hoja changamano.
#Tulilisubili hili shindano, Kuleta hoja chanya.
Jf sio mvutano, nawe waweza jichanganya.
Kwa...
Katika hali inayoonekana kuwa na taharuki ni Rais, kutopandisha mishahara kwa watumishi wa umma, imesababisha wafanyakazi kutoelewa ni nani anastahili kupata cheo kipya, ili aweze kujikwamua na hali ngumu ya kimaisha.
Kunahitaji elimu ya kutosha, kinachoonekana watu hawaelewi ni muda gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.