mnyukano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Pre GE2025 CHADEMA ifanye mabadiliko ya katiba kumaliza mnyukano wa kugombea madaraka katika chama

    Katika nchi nyingi za demokrasia halisi uongozi wa vyama vya siasa huwa unabadilishwa punde tu baada ya matokeo ya uchaguzi, hicho ndicho kipindi kizuri cha kufanya tathmini ya uongozi kutokana na performance baada ya uchaguzi. CHADEMA kuwa inafanya mabadiliko ya uongozi mwaka mmoja kabla ya...
  2. B

    Wanasiasa, wanaharakati: mnyukano unapotulia

    Ile mirindimo ya makombora mazito mazito kama ya Tora Bora sasa imetulia. DRC wanasema angalau sasa kunaonekana "ukimya." "Ukimya" si amani. Bali kila mmoja atakuwa kwenye kuhesabu wafu wake na kutibu majeruhi. Matokeo ya vita: 1. Kule kuna kongamano kujadili agenda zenye maslahi makubwa mno...
  3. MK254

    Mnyukano wa Sudan wahamia Darfur, imeshindikana wa kuwapatanisha

    Jamaa wanapigana kwa mizuka ya balaa............ Fighting between forces loyal to Sudan's rival generals on Friday rocked the western region of Darfur, witnesses said, on the fourth day of a fragile US-Saudi-brokered ceasefire. The one-week truce, the latest in a series of agreements that have...
  4. econonist

    Mambo 16 niliyojifunza kwenye hotuba ya Rais Samia - Januari 4, 2022

    Yafuatayo ndio nimejifunza kutokana na hotuba ya Jana. 1. Rais amekasirishwa na maoni yaliyotolewa na speaker Ndugai kuhusu mikopo. 2. Rais amemshambulia speaker Ndugai at individual capacity na sio Kama speaker kwenye maoni kuhusu mikopo. 3. Rais amehaidi kukopa zaidi na mpaka Sasa wamepata...
  5. J

    Jf Mnyukano: Soma Shairi langu uelimike

    #Hakika Jf ni mnyukano, Nami ni nani nisiunge mkono. Kilicho bora milioni tano, kuwa balozi si kibano. Nitashinda huu mtifuano, ukinipa hiyo yako tano. Kwa maandishi Ambatano, na hoja changamano. #Tulilisubili hili shindano, Kuleta hoja chanya. Jf sio mvutano, nawe waweza jichanganya. Kwa...
  6. R

    Mnyukano kwenye kupanda vyeo kwa watumishi wa umma, Waziri elimisha wafanyakazi kupitia maafisa utumishi

    Katika hali inayoonekana kuwa na taharuki ni Rais, kutopandisha mishahara kwa watumishi wa umma, imesababisha wafanyakazi kutoelewa ni nani anastahili kupata cheo kipya, ili aweze kujikwamua na hali ngumu ya kimaisha. Kunahitaji elimu ya kutosha, kinachoonekana watu hawaelewi ni muda gani...
Back
Top Bottom