Mohammed "Mo" Gulamabbas Dewji (born 8 May 1975) is a Tanzanian billionaire businessman and former politician. He is the owner of MeTL Group, a Tanzanian conglomerate founded by his father in the 1970s. Dewji served as Member of the Tanzanian Parliament for Chama Cha Mapinduzi (CCM) from 2005 to 2015 for his home town of Singida. As of October 2022, Dewji has an estimated net worth of US$1.5 billion, Africa's 17th richest person and youngest billionaire. Dewji was the first Tanzanian on the cover of Forbes magazine, in 2013.
Nimetapeliwa na mtu aliyedai ni afisa mikopo wa Mo Dewji Foundation kwa kunilaghai nikope mikopo nafuu Kwa riba ndogo, ila nitoke dhamana ya asilimia 10. Nilitoa shs 35,000 na kulipa katika namba 0789 223 590 (Khatibu Khamis) na kuahidiwa kupewa mkopo wa shs laki 3, ndani ya muda mfupi.
Baada...
Kupitia kurasa rasmi za Wizara ya Maendeleo ya Jamiii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imetoa taarifa ya mashirika yasiyo ya kiserikali ambayo yameomba kwa hiyari na kwa mujibu wa sheria kufutiwa usajili na Wizara imetangaza kufuta usajili wa taasisi hizo.
Katika orodha hiyo limo jina la Mo...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na oparesheni, misako na doria zenye tija kuhakikisha usalama wa raia na mali zao. Aidha, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kupitia misako na doria limepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kukamata watuhumiwa wa kughushi na utapeli, kupatikana na silaha bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.