mobutu sese seko

  1. Lord denning

    Alivyoifanya Mobutu Congo DR ndio wanavyoifanya CCM Tanzania. Ni suala la muda tu Tanzania itakuwa kama Congo

    Mwaka 2020 niliandika uzi humu jamvini kuhusu tofauti ndogo iliyokuwepo baina ya Congo ya Mobutu na Tanzania! Niliandika uzi ule kwa sababu kuna vitu vingi sana vilivyokuwa vinatokea wakati ule havikuwa na tofauti na mambo yaliyokuwa yanatokea nchini Congo kipindi cha Mobutu. Niliweka na...
  2. Nyankurungu2020

    Ukiona kiongozi yeyote wa Afrika aliye karibu na Mabeberu tambua kuwa huyo yupo tayari kuwasaliti watu wake kama alivyofanya Mobutu Sese Seko

    Mobutu Sese seko aliwasahau kabisa waafrika wenzake wa Zaire sasa DRC. Rasilimali za taifa lake akazitumia kwa ajili ya tumbo lake na mabeberu. Mbaya zaidi hata kifo cha Patrice Lumumba alishiriki ili mradi tu mabeberu wamtumie kuwanyonya waafrika wenzake. Afrika ina bahati mbaya sana. Kila...
  3. K

    Kauli hii ya Mobutu Sese Seko ni uhalisia wa yanatokea DR Congo?

    Je, ni kweli Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga alikuwa mtu mbaya kama tulivyoaminishwa ? Tuone kauli ya Mobutu ambayo aliongea "APRES MOI C'EST LE DÉLUGE ". Après MOBUTU c'est de la mort, de la souffrance, de la misère, du désordre Kwa kiswahili : BAADA YANGU NI MAFURIKO". Baada ya...
  4. M

    Wanasiasa Vibaraka wana cha kujifunza kwa Mobutu Ssese Seko

    Asalamalakum, Nchi yetu imebarikiwa kuwa na resources nyingi sana ikiwemo dhahabu, gas, ardhi, strategic location na amani, hivi ni vitu muhimu sana kwa watu wanaotaka kujiendeleza kiuchumi, unfortunately kumekuwa na "scandals" kadhaa za wanasiasa kuuza rasilimali za taifa kwa wawekezaji bila...
  5. Sigara Kali

    Hapa ni Gbadolite, Kijijini kwa dikiteta Mobutu Sesseko Kuku Wazabanga, nyumba zimegeuka Magofu na mahame

    Mobutu Sesseko Kuku ngendu Wazabanga baada ya kuingia madarakani kimabavu akaanza utawala wa kidikteta Akajenga ikulu/kasri kubwa kijijini kwao Gbadolite ,akajenga uwanja mkubwa wa kutua ndege tena zilikua zile Concord ,uwanja huu alijenga kijijini kwao Mobutu alipandisha hadhi kijiji cha kwao...
  6. Lord denning

    Hii ndo ilikuwa Congo ya Mobutu Sese Seko

    Amani iwe nanyi Nimeambatanisha na video ya documentary ya Mobutu Sese Seko, aliyekuwa Raisi wa Congo ( Zaire) ili wajumbe mjionee wenyewe Nilichogundua kutoka kwenye documentary hii ambayo ina sub-title ya kiingereza ni kuwa 1. Mobutu alitengeneza kundi kubwa sana la wanafiki waliokuwa...
  7. Sky Eclat

    Hayati Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu enzi za ujana wake

  8. Basi Nenda

    Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

    Huku tukiwa tumeshuhudia uapishwaji wa mtoto wa tshisekedi kuwa rais wa congo. Ni vyema kujikumbusha baadhi ya mambo ya kiti cha urais wa congo Aliwahi kuwepo kijana wa kwanza wa Marechal Mobutu Sese Seko aliyeitwa JEAN PAUL NIWA aliyeandaliwa na baba yake kuja kuwa rais wa pili wa zaire na wa...
  9. Sky Eclat

    President Mobutu Sese Seko of Zaire

    Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga alikuwa kiongozi wa kijeshi dikteta huko Zaire. Mke wake wa kwanza Marie-Antoinette Mobutu, alifariki kwa ugonjwa wa moyo mwaka 22 October 1977 Genolier, Switzerland akiwa na umri wa miaka 36. 1 May 1980 alimuoa Bobi Ladawa pamoja na pacha mwenzake...
Back
Top Bottom