mohamed mchengerwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Makonde plateu

    Huyu Mchengerwa ni mzanzibar au mtu wa rufiji?

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Ahudhuria Dua Maalum ya Hitima ya Marehemu Mzee Omary Rashidi Mchengerwa ZANZIBAR – Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, ameungana na Wazanzibari wengine katika Dua maalum ya hitima kwa ajili ya Alhaji Marehemu Mzee Omary Rashidi...
  2. CM 1774858

    Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wassira awasili kwenye msiba wa baba yake Mohamed Mchengerwa

    Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira amefika kutoa pole nyumbani kwa Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa na kushiriki dua ya kisomo kufuatia kifo cha Baba yake mzazi, Alhaj Omary Mchengerwa. Alhaj Omary Mchengerwa, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Mvutano CCM Rufiji: Viongozi wadai kusimamishwa kwa kutomuunga mkono Mbunge Mchengerwa

    Wakuu Mnakumbuka sakata la CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee? Mapya yaibuka huko, panga limepita kwenye Chama == Katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, kumekuwa na sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo baadhi ya viongozi wa matawi na kata wamedai kusimamishwa...
  4. Waufukweni

    Pre GE2025 CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

    Wakuu Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji Prudence Sempa amesema atalifanyia kazi Ombi la Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji la kuwataka kumpitisha Mbunge Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee wa Ubunge kupitia CCM. Bw. Sempa alitoa kauli hiyo baada ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji Abdul...
  5. Mkalukungone mwamba

    Halmashauri ya Mji Kibaha sasa imepanda hadhi na kuwa Manispaa

    RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia Halmashauri ya Mji Kibaha iliyopo Mkoani Pwani kupandishwa hadhi na kuwa Manispaa. Uamuzi huo umetangazwa leo Januari 27 na Waziri wa Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa...
  6. S

    KERO Waziri Mchengerwa, sisi walimu wa Wilaya ya Busega tunaomba msaada wako juu ya Mkurugenzi wa Wilaya

    Mheshimiwa Waziri, Sisi, walimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega, tunakuandikia kwa huzuni na wasiwasi mkubwa kuhusu vitendo vya ukaidi na unyanyasaji tunavyopata kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega, Ndugu Marco Kachoma. Tangu mwezi wa Agosti 2024, tulipomuandikia barua...
  7. Cute Wife

    Kwahiyo Mchengerwa wananchi wakitumia huduma mbovu ni sawa ila wakimpatia huduma hizo kiongozi ni Uhalifu?

    Wakuu, Mchengerwa OR TAMISEMI ameng'aka huko kuwa wananchi wachukuliwe hatua ikiwa watafanya kilichotokea chuga - wa Chuga waliwapitisha viongozi kwenye matope waone adha wanayopitia. Sasa kama hilo umeliita uhalifu, hauoni kama wewe Mchengerwa OR TAMISEMI na viongozi wako ndio wahalifu...
  8. ChoiceVariable

    Mohammed Mchengerwa: Rais Samia Ameipandisha Hadhi Geita kuwa Manispaa na Rufiji kuwa Halmashauri ya Mji

    Hayo ndio maelezo ya Waziri wa Tamisemi bwana Mohammed Mchengerwa akirejea maamuzi ya Rais Samia. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipandisha hadhi...
  9. Cute Wife

    Pre GE2025 Mchengerwa kutoa Milioni 60 kwa ajiri ya ujenzi wa Studio ya Muziki! Wana Rufiji hiki ndicho mmemuagiza mbunge wenu awaletee?

    Wakuu, Hivi Rufiji kuna wasanii wengi eeeh kiasi kwamba demand ni kubwa sana? Wanarufiji mambo yote safi mpaka wameomba wajengewe studio🌚 === Waziri wa TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji Mohamed Mchengerwa ameahidi kuchangia Milioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa Studio ya Muziki kwa ajili ya...
  10. M

    LGE2024 Uchaguzi ni mchakato wa amani, huru na haki. Waziri Mchengerwa ajiuzulu kutokana na mauaji ya watu watatu katika kipindi cha maandalizi ya uchaguzi

    Uchaguzi ni mchakato wa amani, huru na haki. Waziri Mchengerwa anapaswa ajiuzulu kutokana na mauaji ya watu watatu katika kipindi cha maandalizi ya uchaguzi. Kama mhusika Mkuu wa uchaguzi husika anapaswa awajibike kutokana na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi. Kama hatajiuzulu mwenyewe...
  11. Chakaza

    LGE2024 Kwa yaliyojitokeza Uchaguzi Serikali za Mitaa, Waziri Mchengerwa ulistahili kushtakiwa kwa uhaini

    Ulitahadharishwa kutokea mapema juu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa na kasoro zake tokea uandikishaji kama waziri mwenye dhamana ukadharau. Ukashauriwa hiki na kile pia ukapuuza hadi uchaguzi kwa kiwango cha kutisha umeharibika na watu kadhaa wameripotiwa kuuwawa. Ni upole tuu wa vyama...
  12. Cute Wife

    LGE2024 Mchengerwa: Matokeo ya jumla Uchaguzi Serikali za Mitaa kutangazwa kesho Novemba 28, 2024

    Wakuu, Waziri Mchengerwa akiwa anahojiwa na mtangazaji wa TBC, Dar, amesema kuwa yapo maeneo ambayo matokea yalishaanza kutangazwa kwani Wasimamizi Wasaidizi walishapewa maelekezo kwamba pale ambako wamemaliza wanapoendelea kuhesabu waendelee na pale ambako walishamaliza wataendelea kutangaza...
  13. Cute Wife

    LGE2024 Mchengerwa: Baadhi ya maeneo kulikotokea sintofahamu, mbalimbali watafanya uchaguzi kesho November 28, 2024

    Wakuu, Amesema Mchengerwa wakati anahojiwa na mwandishi wa TBC, kuwa kuna baadhi ya maeneo ambayo kumetoa sintofahamu mbalimbali, hasa maeneo ya Morogoro kuwa amewaambia watafanya uchaguzi kesho (Novemba 28, 2024) kwenye kata moja Ruaha ambako kulikuwa na changamoto kubwa upande wa karatasi...
  14. Cute Wife

    LGE2024 Singida: Uchaguzi Manyoni waahirishwa baada ya mgombea kupigwa risasi

    Wakuu, Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Stand, Kata ya Mkwese, Wilayani Manyoni, Mkoani Singida umeahirishwa baada ya mgombea wa nafasi hiyo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuuawa kwa kupigwa risasi. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za...
  15. Cute Wife

    LGE2024 Mchengerwa: Changamoto zilizojitokeza zinatusaidia kujipanga uchaguzi ujao

    Wakuu, Kwahiyo waliacha matobo makusudi ili waje watuambie watafanya vizuri wakati mwingine, wakati wananchi watakaa na uozo huo kwa zaidi ya miaka 3? Eti taifa letu changa, mfumo wa vyama vingi tumeanza juzi! Am so wandaz:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: === Kupata taarifa na matukio ya...
  16. Suley2019

    LGE2024 Mchengerwa: Wasimamizi wasaidieni Wananchi kutafuta majina

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa amewaelekeza wasimamizi wa vituo vya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuwasaidia wapiga kura kusoma orodha ya majina vizuri ili wote waliojiandikisha wapate fursa ya kupiga kura. Mchengerwa amesema...
  17. Mindyou

    LGE2024 Mmeziona kanuni za kuendesha kampeni za Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa? Kwanini Mkuu Wa Polisi Wilaya amepewa nguvu kubwa hivi?

    Wakuu, Kama mnavyojua kesho kampeni za Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa zinaanza kesho. Wakati napitia hizi kanuni za kampeni za Uchaguzi kuna kipengele nimekiona ambacho kama wapinzani kinaweza kutumika vibaya Kulingana na kanuni za kampeni kipengele 27 (1) ni kwamba Mkuu Wa Polisi Wilaya ndio...
  18. Mtoa Taarifa

    Waziri Mchengerwa akemea Migogoro baina ya Viongozi wa Kuchaguliwa na wa Kuteuliwa

    Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amekemea migogoro na mivutano baina ya Viongozi wateule na wale wa kuchaguliwa katika maeneo mbalimbali, akisema suala hilo linakwamisha dhamira nzuri ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwatumikia...
  19. ChoiceVariable

    Waziri Mchengerwa: Tirioni moja kutumika kuboresha Miundombunu Dar

    Serikali imesaini kuanza Ujenzi wa Barabara za Mitaa ya Jiji la Dar Zenye urefu wa km 250 Kwa zaidi ya Shilingi Trilioni 1.2. Pamoja na kwamba Jiji la Dar ndio kitovu Cha Uchumi wa Nchi ila upendeleo umezidi. Kwa jini la Dar peke yake Kuna miradi yenye zaidi ya km 600 kama Ifuatavyo. Pia soma...
  20. Cute Wife

    LGE2024 Takwimu za uandikishaji Uchaguzi Serikali za Mitaa kulinganisha na idadi ya watu. Baadhi walioandikishwa wazidi idadi ya watu

    Wakuu, Mambo hayo, angalia mwenyewe baadhi ya maeneo idadi ya watu walioandikishwa wamezidi idadi ya watu waliohesabiwa tena pakubwa! Mchengerwa safari hii lazima badamu bachuruzike! Dar es Salaam Sensa 3,599,244 Milioni– Waliojiandisha 3,483,970 Milioni Mwanza Sensa 1.95 Milioni –...
Back
Top Bottom