mohammed shein

Ali Mohamed Shein (born 13 March 1948) is the 7th President of Zanzibar, in office since 2010. He was previously Vice President of Tanzania from 2001 to 2010. Shein is originally from the island of Pemba, and he is a member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. He is a medical doctor by profession.

View More On Wikipedia.org
  1. AbdurRahman

    Natafuta kazi nimesomea fani ya umeme

    Habari! Natafuta Ajira nimesomea uhandisi wa Umeme 'MUST', nimemaliza mwaka 2019. kazi yoyote ya Umeme nipo tyr kufanya hata Kama ni wiring n.k,,, Kwasasa napatikana Morogoro 'Msamvu', Nahitaji msaada wenu nipate japo connection niapate kazi ya kusogeza maisha. Simu 0654409392
  2. B

    Mkwara wa Rais Magufuli, Maalim Seif anyimwa posho ya matibabu!

    Kwa mujibu wa RAIA TANZANIA, Maalim Seif Augwaya Mkwara wa Magufuli..Aenda Kwenye matibabu bila posho , Maombi yake yadunda ofisini kwa Dr Shein
  3. KAMUGUNGA

    Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

    Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshangaa Rais wa Zanzibar kuwa anasaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumpa mkono siku ya mazishi ya Jumbe, na kusema kwake isingekuwa rahisi hivyo. Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais...
  4. Mondoros

    Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

    Anaeongea kwa sasa ni Rais John Magufuli baada ya kukaribishwa na Rais wa Zanzibar, Dk. Shein na anazungumzia amani. Anasema mtu hawezi kuja kuwekeza Pemba wakati watu hawasalimiani, anasema mume na mke wakiwa hawaelewani kwa sababu ya vyama vya siasa hajui usiku wanalalaje. Amesema anajua...
Back
Top Bottom