Wakuu, naangalia Tv Tumaini na sasa wamejiunga na kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma.
Kikao hicho kinaongozwa na Rais mheshimiwa Samia.
Nilichogundua mheshimiwa Rais kasema leo afya yake si nzuri na hata uvaaji wa barakoa nao si sahihi.
Ninavoona mie hii kitu haijakaa sawa, wasioneshe moja...