Hongera Hayati JPM Kwa kuweka mbele kipaumbele cha Lugha yako Mama.
Uliwapa Motisha Viongozi wakuu mbalimbali walionyesha uwazi wao na kutumia Lugha yao katika Majukum yao.
Tukaona Mahakama Sasa zinaanza kutoa Hukumu Kwa Lugha Kiswahili ( Kwa msioelewa , Sheria na Mahakama zake, Zina tumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.