Licha ya uamuzi wa Mahakama Kuu ya Msumbiji mapema wiki hii kuthibitisha Daniel Chapo wa chama tawala cha Mozambique Liberation Front (Frelimo) kuwa mshindi wa uchaguzi wa Oktoba 9, kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane ameapa kujitangaza rais Januari 15, akidai kuwa mamlaka yake yameporwa...