mongella

Gertrude Ibengwe Mongella, née Makanza (born September 13, 1945) is a Tanzanian politician who is the first president of the Pan-African Parliament.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    LGE2024 Mongella ahitimisha Kampeni za CCM Shinyanga kwa maandamano ya hamasa

    Naibu katibu Mkuu huyo wa CCM, Taifa, John Mongella amefika Mkoani Shinyanga kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika novemba 27, mwaka huu. Sambamba na hilo Mongella ameongoza maandamano makubwa kutoka ofisi za CCM, Mkoa hadi kata ya Kitangili kuhamasisha wananchi...
  2. Hamduni

    LGE2024 Mongella: Wanachama wote wa CCM shirikin kikamilifu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuchagua viongozi bora

    Naibu katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi Tanzania Bara ndg. John Mongella amewataka wanachama wote wa CCM washiriki kikamilifu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuchagua viongozi bora watakao kuwa watatuzi sahihi wa shida zao na sio kujinufanisha binafsi, sambamba na hilo alipata wasaa wa...
  3. J

    Mongella ataka umoja na ushirikiano USHETU

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, ametoa wito kwa wananchi wa Ushetu kuendelea kushikamana na chama hicho ili kuleta maendeleo endelevu katika maeneo yao. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Bulungwa, Mongella aliwasihi wanachama na...
  4. JanguKamaJangu

    RC wa Arusha, Mongella: Aliyemfanyia ukatili Jackline atashughulikiwa haijalishi ni Mwana-CCM

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo wamefika nyumbani kwa mwanamke aliyedaiwa kupigwa na mume wake kwa kung’olewa jino kwa praizi pamoja na kutobolewa jicho kwa bisibisi. Mongella amesema “Viongozi wote wakuu wa Nchi wameshtushwa na taarifa...
  5. B

    RC Mongella azitaka taasisi mbalimbali kuhakikisha kunakuwepo na uwiano wa kijinsia mahala pa kazi

    Mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongella amezitaka taasisi mbalimbali kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa wa jinsia kati ya wanaume na wanawake ili kuwepo kwa usawa mahala pa kazi. Ameyasema hayo jijini Arusha wakati akizungumza na wadau mbalimbali wa Benki ya CRDB walipokutana katika chakula...
  6. Taifa Digital Forum

    Zoezi la 'Beacons' Loliondo lamuibua Mkuu wa Mkoa John Mongella

  7. Huihui2

    Video: RC Mongella akikaribisha watalii wa KIA

    Hii ni habari mbaya kwa wasiopenda mafanikio ya Rais Samia hasa kwenye "Royo Tua". Mama Samia tunakuambia piga kazi watakaa kimya wenyewe.
  8. Huihui2

    RC Mongella, Hongera kwa Kuwajengea Machinga Eneo la Biashara

    Machinga wa Arusha wanajengewa sehemu ya biashara baada ya kuondolewa maeneo yasiyo rasmi. Hata kama hatumpendi Rais Samia kwa hili tumpongeze sana tu. Uongozi siyo maguvu, kelele na matusi bali mipango tu
  9. B

    Gertrude Mongella: Kitabu cha Mwalimu Nyerere kilifichwa

    13 October 2021 Chato, Geita Tanzania KITABU CHA NYERERE CHAFICHWA / MONGELA AFUNGUKA SABABU ZA KUFICHWA KITABU HICHO Gertrude Mongella akemea siasa za ubaguzi zinazoendekezwa na jamii iwe kisiasa, kijamii, kijinsia, rika n.k Ametoa hotuba moja ikigusia mfano kuwa mwanamke ni anasifa zote...
  10. T

    Bi Mongella: Kama taifa hatuna falsafa inayotuongoza

    Akizungumza katika kongamano huko Chato kada huyo wa siku nyingi wa CCM, amewauliza wanawake vijana waliokusanyika hapo na kuwauliza "hivi ninyi mnajua falsafa yetu ni ipi!?" Ukweli hakuna aliyeweza kujibu hilo swali, ndipo akasisitiza kwamba kwa sasa nchi yetu inaongozwa bila falsafa yoyote.
Back
Top Bottom