Wakuu,
Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai.
Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu.
Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana...
The Ministry of Health has announced one more confirmed case of Mpox in the country, taking the total number of cases recorded so far to 14.
Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa, in a statement released on Thursday, said the case was recorded in Uasin Gishu County.
The cases are...
Huu ugonjwa wa home ya nyani ni kama vile unakuja na vibe la Corona, taarifa za kusambaa wagonjwa zinaongezeka kidogo kidogo kila siku, mamlaka zote duniani inabidi zichukue hatua za haraka na kwa ushirikiano tusije kuingia kwenye mambo ya lockdowns tena.
Soma Pia: Homa ya nyani (Monkeypox)...
Baada ya chanjo ya COVID-19 kutolewa nchini kwa mafanikio makubwa ambapo vifo vilipungua kufikia zero baada ya Serikali kuingiza nchini na kuhamasisha matumizi yake kuna janga lingine kwa majirani wetu hasa DRC.
Changamoto ya ugonjwa wa monkey pox tayari imeshapatiwa chanjo na hivyo muda si...
Homa ya nyani ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi kinachotoka kwa nyani.
Kirusi hiki kiligundulika mnamo mwaka 1958 barani Ulaya.Ila mwanadamu wa kwanza kuupata ugonjwa huu aliupata mwaka 1970.
Ugonjwa huu,dalili zake zina fanana na ule wa tetekuwanga lakini huu una mateso zaidi kama...
Mpox ama monkey pox. Ni homa inayotokana na nyani.
Inasemekana hadi sasa walioathirika ni 19,919 huku waliokufa 975 huko Congo.
Dalili zake upele, homa, mgongo kuuma, kukosa nguvu, kichwa kuuma, kuwashwa kwa koo.
Inaaambukizwa kwa kula nyama ya nyani alie na hatari hio, kugusana kawaida na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.