monkey pox

  1. Cute Wife

    DOKEZO Huu ni ugonjwa gani? Wizara ya Afya semeni kitu

    Wakuu, Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai. Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu. Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana...
  2. Suley2019

    Kisa Kimoja cha Homa ya Nyani (Monkey Pox) chathibitika na kufanya iwe jumla ya visa 14 mpaka sasa Kenya

    The Ministry of Health has announced one more confirmed case of Mpox in the country, taking the total number of cases recorded so far to 14. Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa, in a statement released on Thursday, said the case was recorded in Uasin Gishu County. The cases are...
  3. Yoda

    Hii Homa ya nyani(Monkey Pox) inaleta vibes za Corona

    Huu ugonjwa wa home ya nyani ni kama vile unakuja na vibe la Corona, taarifa za kusambaa wagonjwa zinaongezeka kidogo kidogo kila siku, mamlaka zote duniani inabidi zichukue hatua za haraka na kwa ushirikiano tusije kuingia kwenye mambo ya lockdowns tena. Soma Pia: Homa ya nyani (Monkeypox)...
  4. M

    Baada ya Chanjo ya COVID-19 sasa Monkey pox

    Baada ya chanjo ya COVID-19 kutolewa nchini kwa mafanikio makubwa ambapo vifo vilipungua kufikia zero baada ya Serikali kuingiza nchini na kuhamasisha matumizi yake kuna janga lingine kwa majirani wetu hasa DRC. Changamoto ya ugonjwa wa monkey pox tayari imeshapatiwa chanjo na hivyo muda si...
  5. Dede 01

    Ifahamu homa ya nyani ama kwa kiingereza monkey pox

    Homa ya nyani ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi kinachotoka kwa nyani. Kirusi hiki kiligundulika mnamo mwaka 1958 barani Ulaya.Ila mwanadamu wa kwanza kuupata ugonjwa huu aliupata mwaka 1970. Ugonjwa huu,dalili zake zina fanana na ule wa tetekuwanga lakini huu una mateso zaidi kama...
  6. Eli Cohen

    Kuna mlipuko wa ungonjwa wa Homa ya Nyani (MPox) DRC na inadhaniwa kusambaa nchi nyingine

    Mpox ama monkey pox. Ni homa inayotokana na nyani. Inasemekana hadi sasa walioathirika ni 19,919 huku waliokufa 975 huko Congo. Dalili zake upele, homa, mgongo kuuma, kukosa nguvu, kichwa kuuma, kuwashwa kwa koo. Inaaambukizwa kwa kula nyama ya nyani alie na hatari hio, kugusana kawaida na...
Back
Top Bottom