morocco square

  1. J

    Kama Serikali yenu sikivu imehamia Dodoma, iweje bwana Mchechu mnamuangalia tu anahamisha Ofisi ya Msajili wa Hazina kwenda Morocco Square?

    Ikumbukwe taasisi nyingi za serikali ziko Dodoma na wengine wamelazimishwa kuhama wakiwa hawana hata majengo, sasa huyu mpigaji Nehemia Kyando Mchechu anapata wapi uhalali wa kuhamia Morocco Square badala ya kwenda Dodoma, na ikumbukwe mpigaji huyu alikua Mkurugenzi Mkuu wa NHC wamiliki wa hapo...
  2. K

    Ushauri kwa uongozi wa Morocco Square

    Kupitia kipindi cha ITV ya saa 3.10 jana nilishuhudia promotion ya Morocco Square. Kwanzza hongereni sana kwa Mradi ulivyo mzuri na karibu una kila kitu anachohitaji mwanadamu kwa maisha yake ya kila siku. Pamoja na uzuri wa mradi huo kuna kitu mnatakiwa mnapobuni miradi kama ulivyo wa...
Back
Top Bottom