morogoro kuwa jiji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DC Kilakala: Ukusanyaji wa Mapato Kusaidia Morogoro Kuwa Jiji

    DC KILAKALA: UKUSANYAJI WA MAPATO KUSAIDIA MOROGORO KUWA JIJI Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Musa Kilakala amesema kuwa Manispaa ya Morogoro haiwezi kufanikiwa kuwa jiji pasipo na mipango thabiti ya ukusanyaji wa mapato ya ndani kupitia vyanzo vyake vya kodi. Ameeleza hayo wakati wa kikao maalum...
  2. Rais Samia: Morogoro Kuwa Jiji bado

    Rais wa JMT amekataa ombi la kuipandisha hadhi Manispaa ya Morogoro Kuwa Jiji kama ambavyo mamlaka zimekuwa zikiomba akisema Morogoro Bado sana kufikia hadhi hiyo na kuwataka watimize wajibu wao. --- Mbunge wa viti maalum Christine Ishengoma amewasilisha ombi la kutaka Halmashauri ya mji wa...
  3. RC Malima: Kama Morogoro mnataka kuwa Jiji acheni uchafu na ongezeni makusanyo ya Nndani

    RC wa Morogoro Adam Malima amesema kipaombele chake kikubwa ni kuhakikisha Manispaa ya Morogoro inakuwa Jiji haraka iwezekanavyo lakini akaonya Uchafu wa "Walugulu" na Makusanyo kiduchu ya Manispaa kwamba ndio vikwazo vikubwa.👇👇...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…