moses lijenje

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KING MIDAS

    Askofu Mwamakula: Tusilale usingizi pasipo kujua Moses Lijenje yupo wapi na ana hali gani

    TUSILALE USINGIZI PASIPO KUJUA MOSES LIJENJE YUKO WAPI NA ANA HALI GANI! Kamanda Kingai na Afande Mahita katika nyakati tofauti kila mmoja akiwa chini ya kiapo, walitoa ushahidi Mahakamani kuwa walikuwa wakimtafuta mtuhumiwa Moses Lijenje kule Moshi. Lakini mmoja wa watuhumiwa hao...
  2. N

    Je, inaweza kufunguliwa kesi dhidi ya Jeshi la Polisi ya kumwitisha Moses Lijenje aletwe Mahakamani?

    Kuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo. Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa...
  3. Noel wa ruben

    Moses Lijenje na wenzake walitenda kosa gani?

    Ni jambo la kustaajabisha na kusikitisha sana kusikia watu ambao walijifunza uzalendo kwa kiwango cha juu leo ndiyo wanaishia jela. Makomandoo wote hao nasikia walishiriki vita DRC Congo na walifanya kazi kwa weledi. Je,tatizo ni vijana wenyewe au ni mfumo kwa anayefahamu, jamani atupe mwanga...
  4. V

    Moses Lijenje aliyetajwa kutupwa na Polisi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni nani?

    Wakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho. Mallya: Kitu gani Kiliendelea..? Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses...
Back
Top Bottom