moshi mjini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Pre GE2025 Mbunge wa Moshi mjini, ⁨Priscus Tarimo amekuwa mtu wa mwanzo kuleta maajabu ya maendeleo Moshi mjini

    Mbunge wa Moshi mjini MH.PRISCUS TARIMO @⁨Priscus Tarimo B⁩ amekuwa mtu wa mwanzo kuleta maajabu ya maendeleo Moshi mjini... Haikuwa rahisi kwa chama kumpa ridhaa mtu ambaye hajawahi kuwa kiongozi wa kada yoyote ndani ya CCM na ambaye walitazama sifa zake wakaona ni mbovu hazifai kuwa...
  2. milele amina

    KERO Kukithiri kwa uchafu,maji taka na takataka kwenye Stand Kuu ya Mabasi, Moshi Mjini, Kilimanjaro

    Utangulizi Moshi mjini, maarufu kwa mandhari yake ya kuvutia na utamaduni wa kipekee, sasa unakabiliwa na changamoto kubwa ya usafi. Kituo cha mabasi kilichoko katikati ya mji kimekuwa kielelezo cha hali ya uchafuzi inayohitaji jitihada za haraka na za ziada ili kurejesha heshima ya mji huu...
  3. milele amina

    Pre GE2025 Kura za Maoni CCM: Mambo muhimu Mbunge wa Moshi Mjini anayohitajika kuyafanya na kuyamaliza kabla ya October 2025.

    Mpendwa Mbunge wa Moshi Mjini, Natumai uko salama na unaendelea vizuri. Kama mwananchi wa Moshi, na mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM, Moshi Mjini, naandika barua hii kukujulisha kuhusu vipaumbele muhimu vya maendeleo ya mji wetu, ambayo ni muhimu kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Ni...
  4. B

    Utekelezaji wa ilani ya ccm 99% imetiki nje ndani moshi mjini

    UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM 99% IMETIKI NJE NDANI MBUNGE WETU PRISCUS TARIMO AMEKUWA MSIMAMIZI IMARA WA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MDANI YA JIMBO LA MOSHI MJINI. MBUNGE WETU AMEPIKWA VEMA NA CCM KUANZIA UVCCM KISHA KUWA KIONGOZI WA KADA TOFAUTI NA HII IMEMFANYA MBUNGE WETU KUWA BORA. HATUNA...
  5. milele amina

    Pitia video hii, ili ujifunze taratibu na Sheria za kuingia na ukuli wa Moshi Mjini.

    Karibu!
  6. milele amina

    Pre GE2025 Davis Mosha kugombea Ubunge Jimbo la Moshi Mjini kupitia tiketi ya CCM

    Utangulizi; Ninapenda kuwajulisha rasmi kwamba Davis Mosha, ambaye ni bilionea na mfanyabiashara maarufu, atagombea ubunge katika jimbo la Moshi Mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba 2025 Hii ni hatua muhimu kwa ajili ya maendeleo ya jimbo letu...
  7. B

    Pre GE2025 Priscus Tarimo mambo unayofanya tunayaona, tulia kwenye kiti chako cha ubunge mitano tena

    Wajumbe wa kamati ya fedha na uongozi na menejimenti ya manispaa ya moshi ikiongozwa na mkurugenzi wa manispaa Bi. Mwajuma Nasombe Leo wametembelea miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na ilani ya CCM kwa USIMAMIZI na UTEKELEZAJI wa mbunge wa Moshi mjini Mh.Priscus TARIMO @⁨Priscus Tarimo B⁩ ...
  8. milele amina

    Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini aweka historia Mitaa ya Kata ya Miembeni

    MBUNGE WA MOSHI AWA GUMZO MITAA YA MIEMBENI UTANGULIZI Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa Moshi Mjini Mhe. Priscus Tarimo amekuwa gumzo katika mitaa mbalimbali ya Miembeni na Njoro baada ya kuhudhuria misiba miwili iliyokuwa jirani na kufanya jambo lililotafsiriwa kuwa sio la kiungwana...
  9. milele amina

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,msikilize Mkuu wa Mkoa wa Tabora! Chukua hatua Jimbo la Moshi Mjini Kuna shida mahali!

    Sitaongea mengi! Huu ni mwaka mpya! Sikiliza
  10. sonofobia

    Aliyekuwa Mbunge Moshi Mjini Japhari Michael: Genge la Mbowe limeumiza watu wengi ndani ya CHADEMA

    "Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe Freeman Mbowe amezungukwa na kundi la watu ambao wamejijengea umangi meza. Bahati mbaya ni kwamba Mweyekiti ni mwepesi wa kupokea fitina na majungu na wakati mwingine anayapokea kwenye vikao visivyo rasmi. Na akishaamua kukushughulikia lazima atakushinda. Hawa...
  11. Goodluck Boaz

    Nauza pikipiki npo moshi mjini, bei 1.5M maongez yapo kwa mawasiliano 0672901144

  12. Cute Wife

    Pre GE2025 TBT: Mgombea CCM akijinadi kwa point matata ili achaguliwe na wananchi Uchaguzi 2015. Je, tunatarajia haya hayatajitokeza kwenye chaguzi zijazo?

    Wakuu, Baada ya kuangalia huku na huko nimegundua hii video ni kutoka Uchaguzi wa 2015, hizi ahadi ni kama zile za 'Ndio Mzee' kwenye wimbo wa Prof. Jay.😂😂 Kwa kiwango cha uchawa kilichoongezeka na wagombea ambao hawana sifa wala ujuzi kusimamia nafasi hizo kupewa nafasi ya kugombea...
  13. C

    Pre GE2025 Mbunge wa CCM Moshi Mjini, Priscus Tarimo aishtaki Bendi ya Polisi kwa tuhuma ya kufanya siasa

    MAPYA YAIBUKA MOSHI, NI BAADA YA MBUNGE KUSHITAKI BENDI YA POLISI Katika hali isiyo ya kawaida, Priscuss Tarimo ambaye ni Mbunge wa jimbo la Moshi Mjini amewashtaki watumbuizaji wa bendi ya Chuo cha Polisi Moshi (CCP) ambayo ilikuwa inatumbuiza kwenye sherehe ya Kumuaga binti wa Tajiri wa Moshi...
  14. J

    CCM moshi mjini chukueni hatua dhidi ya kada wenu Ibraline

    Jumanne wiki hii ndani ya ofisi za chama cha mapinduzi(ccm) moshi mjini,kulitokea tukio ambalo siyo la kistaarabu pale kada wa chama hicho,Ibrahim Shayo a.k.a Ibraline alipomporomoshea matusi makali mstahiki meya wa manispaa ya moshi,Zuberi Kidumo. Tukio hilo lilitokea muda mfupi baada ya...
  15. J

    Pre GE2025 Mtiania Ubunge Moshi mjini amporomoshea matusi Meya Manispaa ya Moshi

    Hali si swari ndani ya chama cha mapinduzi(CCM)jimbo la moshi mjini ambako kada wa chama hicho na mtia nia wa kiti cha ubunge hapo mwakani kumporomoshea matusi mstahiki meya wa Manipsaa ya moshi,Zuberi kidumo. Taflani hiyo imezuka leo asubuhi nje ya jengo la ofisi za CCM Moshi mjini ambako...
  16. J

    Pre GE2025 Ndoto za kada wa CCM kuchua Fomu ya Ubunge 2025 zayeyuka

    Ndoto za kada maarufu wa chama cha mapinduzi CCM)jimbo la moshi mjini za kuchukua fomu kuomba ridhaa ya chama chake kimteue kuwania ubunge kupitia jimbo la moshi mjini ,zimeyeyuka kutokana na kuwa chini ya adhabu. Mapema mwaka huu,kada huyo alipewa onyo na chama chake kutokana na kuendesha...
  17. J

    Pre GE2025 Moshi Mjini pamoto, kada CCM atumia jina la Rais kujinadi

    Hali ya kisiasa katika jimbo la Moshi mjini inazidi kupamba moto kuelekea uchaguzi mkuu hapo mwakani huku mmoja wa makada wa chama hicho akidaiwa kuendesha siasa zake kwa kutumia jina la mwenyekiti wa Chama hicho Taifa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kada...
  18. Kibosho1

    Pre GE2025 CCM Moshi Mjini ina nini kipya cha kujivunia? 2025 watasema nini ili wachaguliwe tena?

    Jimbo la Moshi Mjini imeongozwa na upinzani tangu kuanza kwa vyama vingi. Kutokana na itikadi hiyo rais wa awamu iliyopita Magufuli 2020 akaenda na kusema Moshi iko vilevile sababu ya kuongozwa na upinzani. (Niliamini kwa wakati huo) "chagueni ccm muone maendeleo" Haya Priscus Tarimo toka ccm...
  19. masopakyindi

    Mbowe hebu tupe jibu, lini ulifanya maandamano ya CHADEMA Moshi mjini?

    Mzee Freeman Mbowe salaam! Nataka unipe mrejesho tu, ni lininuliitisha maandamano ya kitaifa ya CHADEMA Moshi mjini? Pia soma: Kilimanjaro: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yanayoongozwa na Freeman Mbowe
  20. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Esther Malleko Azungumza na Wanawake wa Moshi Mjini

    MBUNGE ESTHER MALLEKO AZUNGUMZA NA WANAWAKE WA MOSHI MJINI Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Esther Edwin Malleko tarehe 26 Julai, 2024 amefanya Ziara katika Wilaya ya Moshi Mjini na Kuzungumza na Wanawake kwa lengo la Kuimarisha Jumuiya ya UWT. Mhe. Esther Malleko akiwa katika...
Back
Top Bottom