motivational

Motivation is a driving factor for actions, willingness, and goals. These needs, wants or desires may be acquired through influence of culture, society, lifestyle, or may be generally innate. An individual's motivation may be inspired by outside forces (extrinsic motivation) or by themselves (intrinsic motivation). The difference between intrinsic motivation and extrinsic motivation depends on the actions behind it. Intrinsic motivation has to do with having an internal desire to perform a task and extrinsic motivation has to do with performing a task in order to receive some kind of reward. According to research, intrinsic motivation has more beneficial outcomes than extrinsic motivation. Motivation has been considered one of the most important reasons to move forward. Motivation results from the interaction of both conscious and unconscious factors. Mastering motivation to allow sustained and deliberate practice is central to high levels of achievement, e.g. in elite sport, medicine, or music.
Motivation governs choices among alternative forms of voluntary activity.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    Motivational speaker na madalali chanzo cha umasikini kwa vijana

    Watu wengi wakifanikiwa uanza kuwa motivational speaker,na wanatengeneza story ili wauze wapate pesa zaidi kwa wasio na pesa. Unamponda kijana hana nyuma wala mbele kama vile andazi, kitumbua au chapati. Unamwambia afanue uwinga au achinga mtaji ni mdogo tu lakini aumpi abc za wapi aende...
  2. Infropreneur

    Mafanikio ni dhana pana sana, Motivational speakers eleweni kwamba, Kila mtu ana namna yake anavyo tafsiri mafanikio

    To whom brain 🧠 is given, Sense is expected. Kitu au jambo unalodhani na kuona kwamba kwako ni mafanikio makubwa sana, Kwa mwingine bado ni kitu au jambo dogo sana. Kuna wimbi kubwa sana la Motivational speakers ambao wao hujiona kwamba ndio wana uelewa mpana sana kuhusu suala zima la...
  3. kante mp2025

    Baadhi ya Motivational Speakers ni matapeli

    Mwanzo nilikuwa muumini mkubwa wa hawa wa kuitwa motivational speakers ilikuwa haipiti siku sijasikiliza mausia yao kuhusu maisha hasa hasa mbinu za kupata utajiri na kufikia malengo maishani. Sikuishia kuwasikiliza tu nilienda mbali zaidi na kuyaishi maneno yao maana hawa jamaa wana principle...
  4. G

    Bill Gates na Mark Zuckbereg walikuwa matajiri walipoamua kuacha masomo, kijana usifuate kila unachoambiwa na motivational speakers, Utaangukia pua.

    Mark Zuckbereg - Facebook, Whatsapp, Instagram, n.k. Bill Gates - Microsoft Tayari walikuwa wametengeneza pesa, wana wafadhili wa projects zao...Wewe kijana unaetaka kuacha masomo kitu pekee unachomiliki kilaptop na simu unataka kuwaiga fikiria mara mbili, do your research. Sio hivyo tu, hawa...
  5. D

    Kauli gani ya motivational Speaker iliwahi kukuacha hoi?

    Kuna huyu aliyesema; " I stared my restaurant with one spoon of rice and one drop tomato sauce"
  6. MamaSamia2025

    Motivational speakers hawahitajiki nchini kwasababu matatizo tuliyo nayo yanatosha kutukumbusha kufanya kazi kwa bidii na maarifa

    Ukifuatilia wengi wao hakuna biashara wanazofanya na hata wanachohamasisha ni copy & paste kutoka google na vitabuni. Hawa watu hawahitajiki. Ni upuuzi wa hali ya juu kumlipa pesa Motivational speaker ili akuhamasishe kufanya biashara. Matatizo tuliyo nayo yanatosha kutuhamasisha kupambana...
  7. Mjanja M1

    Huyu ni Motivational Speaker, umegundua nini?

    Waswahili wanamsemo wao unaosema "unaopoona unaitiwa fursa basi tambua kuwa wewe ni fursa". Umegundua nini kwenye hii picha?
  8. Boss la DP World

    Malengo bila Pesa ni Porojo: Motivational Speakers Acheni Kulaghai Vijana

    Mara baada ya kuweka malengo yako, kitu unachopaswa kuwa nacho ni pesa za kufanya malengo yako yatimie. Vinginevyo hayo malengo yako yatakuwa kama pointi za Nyambari Nyangwine yaani Land alienation, Forced labour, Taxation, Low wages, Long working hours nk. Motivational Speakers...
  9. McCollum

    What does it take to be a Motivational Speaker?

    Je, kama ninahitaji kuwa Motivational Speaker, ninahitaji kufanya nini? Hapa naulizia kama kuna kozi special au vitu vya kufanya. ============== Salamu kwa watu wazima wote (kiumri), kwa wengine habari za saizi, kwa mashabiki wa Manchester United mjikande kwa maji ya Moto 7 sing'ori si...
  10. T

    Thread Maalum ya kutiana moyo na ushauri wa Kisaikolojia

    Hii thread ni maalumu kwa ajili ya kutiana moyo kupeana ushauri mbalimbali wa kisaikolojia, sosholojia, falsafa nk. Una jambo lolote kutoka chanzo chochote la kutusaidia wana JF unakaribishwa.
  11. tamsana

    Tofauti ya Mfanyabashara, Mjasiriamali na hawa motivational speakers

    Picha inaongea yenyewe. Wavaa tai wapo wengi sana.
  12. GokuOne

    Mambo unayopaswa kuyafahamu (Motivational)

    Habarini wanaJF, niende moja kwa moja kwenye hoja: 1. Ya zamani uliyofanya yasiathiri leo yako. 2. Mawazo/mitazamo ya watu wengine yasiingilie utendaje wako kimaisha. 3. Kutopata unachotaka inaweza kuwa ni sehemu ya baraka (huwezi jua kwa kukosa kwako umeepushwa na mabaya gani) 4...
  13. Mshana Jr

    Motivational speaking

    Umeshawahi kujiuliza kwanini chizi haumwi anapokula vitu vichafu lakini mwenye akili huwa anaumwa anapokula vitu vichafu? Je unadhani ni kipi kinachomfanya mgonjwa wa akili asiumwe wakati yeye ana mwili kama wako na ana tumbo kama lako? Kitaalamu mtu anapokuwa ana tatizo la akili, yaani hana...
Back
Top Bottom