moussa dadis camara

Captain Moussa Dadis Camara (French pronunciation: [musa dadis kamaʁa]; born 1 January 1964), now called Moïse Dadis Camara ([mɔiz dadis kamaʁa]), is an ex-officer of the Guinean army who served as the President of Guinea from 23 December 2008 to 15 January 2010. He was the leader of the National Council for Democracy and Development (French: Conseil National de la Démocratie et du Développement, CNDD), which seized power in a military coup d'état on 23 December 2008 shortly after the death of long-time president Lansana Conté.
On 28 September 2009, protests occurred in the capital Conakry demanding that Camara step down. The security forces responded with force, and several dozen people died. On 3 December 2009, Camara was shot in the head during an assassination attempt and subsequently left the country to Morocco for medical treatment. Sékouba Konaté took over as acting president, with the United States and France expressing their desire to keep Camara out of the country. He has since been in exile in Burkina Faso, where he converted from Islam to Catholicism, changing his name from Moussa to the French form, Moïse.

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    Camara nae apewe maua yake..Hili goli sawa na goli la Yanga alilorudiaha mpira ndani..Maua yako mpendwa

    Huyu kijana ninashauri apewe maua yake Anatusaidia sana wana yanga kwa kweli Wengi mnammpigia kelele chasambii hamjaona upuuzi wa kamara alioufanya. Hakuna tofauuti na goli la yanga Yeye yuko nyuma yle mpira angeuacha ulikuwa n kona Hakukuwa na haja ya kurudisha ndan mpira kama umeshajua...
  2. M

    Spider Mousa Camara ndiye kipa bora kwasasa nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

    Golikipa namba moja wa Simba SC Camara kwa sasa ni kipa namba moja Tanzania na Afrika Twende kazi kwa uchambuzi zaidi Ukibisha sikushikii kiboko
  3. Tajiri Tanzanite

    Uwepo wa Manula Simba sc inatengeneza mazingira magumu ya ufanyaji kazi kwa Camara

    Hapo vip! Ukweli ni kwamba usaliti ni tabia na tabia ni kama ngozi, Simba sc wanatatizo kubwa sana kwenye uongozi, kitendo cha kutompa mkono wa Thank you Manula mpaka sasa ni ishara wa uwepo wa uongozi dhaifu na wakutojitambua kwenye club ya Simba. Manula kuna tuhuma za usaliti dhidi ya club...
  4. Lady Whistledown

    Guinea: Rais wa zamani apelekwa jela kabla ya kusomewa Mashtaka

    Mawakili wa Rais wa zamani wa Guinea, Moussa Dadis Camara, wanasema amepelekwa jela kabla ya kusikilizwa kwa kesi yake ya kuhusika katika mauaji ya Halaiki ya Mwaka 2009. Rais huyo anakabiliwa na kesi kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji, ambapo watu 156 waliuawa na maelfu kujeruhiwa huku zaidi...
Back
Top Bottom