Mwenge wa uhuru tunaambiwa kwamba unaleta amani pasipo na amani, unaleta tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki.
Tanzania tumekuwa tukitumia mabilioni ya fedha za walipa Kodi kugharamia mbio za Mwenge nchi nzima.
Kwa kuwa Mozambique ni ndugu zetu wa damu, ni wakati sasa wa serikali ya...
Baada ya uchaguzi Mozambique: SADC inatoa wito wa kujizuia na mazungumzo ya "amani".
02 Januari 2025
Picha ya faili: AIM
Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) jana ilihimiza kujizuia katika kukabiliana na maandamano ya baada ya uchaguzi nchini Msumbiji, ikitetea mazungumzo "ya amani...
MAPUTO, Msumbiji (AP) — Takriban wafungwa 6,000 walitoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali katika mji mkuu wa Msumbiji siku ya Krismasi baada ya uasi, kwa mujibu wa Mkuu wa Polisi wa nchi hiyo, Bernardino Rafael. Tukio hilo limetokea wakati nchi ikikumbwa na vurugu za baada ya uchaguzi.
Rafael...
Kuanzia siku ya Alhamisi barabara kuu za zinzoeleke katikati ya jiji la Maputo na mji wa Matola zilikuwa kimya na zenye utulivu mno.
Chawa na waandamanaji wanaomuunga mkono mgombea wa Urais Vennancio Mondlane walifunga jiji zima wakihitaji matokeo waliyoyaita ya ukweli.
Kwa kawaida mji wa...
Hapana haujakosea hio ni bendera ya nchi na hio ni AK 47 ikiwa na Jembe..., Ndio naelewa kwamba kuna kipindi walikuwa wanapigania Mapinduzi / Uhuru hio AK ilikuwa na kazi mahususi je wakati haujafika kubadilisha hio AK na kuweka angalau kalamu iendane na hicho kitabu ?
Clothes Make the...
07 November 2024
Maputo, Mozambique
MAHAKAMA YA KIKATIBA MOZAMBIQUE YAKUBALI MAOMBI YA CHAMA CHA PODEMOS, KURA ZIRUDIWE KUHESABIWE
https://m.youtube.com/watch?v=AVFt6_Ok56U
Chama cha upinzani PODEMOS nchini Mozambique pamoja na cha PAO wamepeleka ushahidi wa kilo Mia tatu za ushahidi katika...
Vurugu baada ya uchaguzi nchini Msumbiji zimeibuka. Tayari watu 18 wameuawa.
Tuchukue tahadhari kwenye mipaka (Mtambaswala) yetu na hawa jamaa.
Mshindi wa Tume (FRELIMO) kajifungia ndani anasikilizia.
NB: internet imezimwa kama Tungekinya 2020
Tanzania's Minister of Foreign Affairs Hon. Mahmoud Thabit Kombo Says Tanzania and Mozambique have worked together to bring peace and security in the Cabo Delgado region.
The region has experience sporadic attacks by militants in that area. Kombo spoke to international news editor Sophie...
Nchi ya Mozambique imeamua kuteka biashara ya Usafirishaji Kwa njia ya Maji Kwa Nchi zote za Sadc na kuiachia Tanzania maumivu makubwa.
Katika kutekeleza Hilo, Mozambique wameamua kuikodisha Bandari Yao ya Nacala Kwa Nchi ya Malawi na Zambia ambapo wataitumia Kwa kipindi Cha miaka 100 ijayo...
Kuri iki Cyumweru abantu barohamye mu bwato bwaganaga ku kirwa cya Nampula muri Mozambique, abagera kuri 90 bahasiga ubuzima.
Amakuru avuga ko intandaro y’iyi mpanuka ari uburemere bukabije bw’abantu n’ibintu byari biburimo.
Umuyobozi w’Intara ya Nampula yabwiye RFI ko ubwo bwato bwarimo...
Tanzania ni nchi pekee ambayo kwa sasa imekaa eneo la kimkakati ambalo lisipolindwa vyema ipo hatari mataifa ya magharibi yakapenya na kutuondolea kabisa amani iliyopo kwenye ukanda wa bahari na Afrika Mashariki.
Tunapowaza kuhusu DP world kuja kiuchumi lazima pia tuangalie kiusalama. Tumeona...
Kinga iliyonayo nchi ya Tanzania dhidi ya Majanga ni kali sana, hakuna nchi ya kulinganisha nayo hapa Afrika mashariki. Haijalishi janga liwe limetokea kiasili au limesababishwa na mwanadamu, nchi yetu kwa kutumia kingo za mipaka yake imetukinga sisi watoto wake.
Ukipitia twakimu kwa miaka...
US slaps Tanzanian with sanctions for bankrolling Mozambique terror
The US Treasury Department’s Office of Foreign Assets Control (OFAC) has singled out four people based in South Africa as financial facilitators of the Islamic State of Iraq and Syria (Isis) and Isis-Mozambique (Isis-M).
The...
Hakika nimeamini vita dhidi ya ugaidi inahitaji akili kubwa mno kuliko matumizi ya nguvu, ni miezi michache tu iliyopita tulitangaziwa na kuaminishwa ya kwamba magaidi ambao walikuwa wameshikilia jimbo la Cabo delgado walipigwa na kumalizwa na jeshi kutoka rwanda.
Ila hivi karibuni tena...
WAZULU WA IMHAMBANE, MOZAMBIQUE KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA
Kisa hiki nimekitoa hapa hapa barzani nikizungumza na ndugu yangu Abdulkarim.
"Abdulkarim, jina hasa ni Saudtz Thomas Plantan.
Baba yake ni Thomas Saudtz Plantan na alikuwa Mwalimu Mkuu wa Mchikichini Primary School na...
4 August 2021
Maputo, Mozambique
Chama kikuu cha upinzani RENAMO chahoji katiba kutofuatwa kwa majeshi ya kigeni ya nchi za Afrika kuingia nchini Mozambique. Hoja hiyo imewasilishwa na kiongozi wa upinzani bungeni Bw. Venâncio Mondlane
Nakutaka kikao cha dharura cha Bunge kifanyike ili...
Wakubwa salaam
Kuna clip inasambaa kwa kasi kutoka Mozambique Mkoa wa cabo Delgado almaarufu kama Pemba wananchi wakichota kinachosemekana ni mafuta ukingoni mwa bahari
Mi swali langu ni hii kitu inawezekana kweli? Yaani mafuta yachotwe bila kuchanganyika na maji naomba wajuzi watujuze jmn...
SA troops arrive in Mozambique to fight insurgents
dailymaverick.co.za/article/2021-07-21-sa-troops-arrive-in-mozambique-to-fight-insurgents/amp
July 21, 2021
The advance party has arrived, despite calls for the defence minister to focus her forces on South Africa’s own ‘attempted...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.