mozambique

Mozambique (), officially the Republic of Mozambique (Portuguese: Moçambique or República de Moçambique, Portuguese pronunciation: [ʁɛˈpuβlikɐ ðɨ musɐ̃ˈbikɨ]; Chichewa: Mozambiki; Swahili: Msumbiji; Tsonga: Muzambhiki), is a country located in Southern Africa bordered by the Indian Ocean to the east, Tanzania to the north, Malawi and Zambia to the northwest, Zimbabwe to the west, and Eswatini (Swaziland) and South Africa to the southwest. The sovereign state is separated from the Comoros, Mayotte and Madagascar by the Mozambique Channel to the east. The capital and largest city of Mozambique is Maputo (formerly known as "Lourenço Marques" from 1876 to 1976).
Between the first and fifth centuries AD, Bantu-speaking peoples migrated to present-day Mozambique from farther north and west. Northern Mozambique lies within the monsoon trade winds of the Indian Ocean. Between the 7th and 11th centuries, a series of Swahili port towns developed here, which contributed to the development of a distinct Swahili culture and language. In the late medieval period, these towns were frequented by traders from Somalia, Ethiopia, Egypt, Arabia, Persia, and India.The voyage of Vasco da Gama in 1498 marked the arrival of the Portuguese, who began a gradual process of colonisation and settlement in 1505. After over four centuries of Portuguese rule, Mozambique gained independence in 1975, becoming the People's Republic of Mozambique shortly thereafter. After only two years of independence, the country descended into an intense and protracted civil war lasting from 1977 to 1992. In 1994, Mozambique held its first multiparty elections, and has since remained a relatively stable presidential republic, although it still faces a low-intensity insurgency.Mozambique is endowed with rich and extensive natural resources. The country's economy is based largely on agriculture, but industry is growing, mainly food and beverages, chemical manufacturing and aluminium and petroleum production. The tourism sector is also expanding. South Africa is Mozambique's main trading partner and source of foreign direct investment, while Belgium, Brazil, Portugal and Spain are also among the country's most important economic partners. Since 2001, Mozambique's annual average GDP growth has been among the world's highest. However, the country is still one of the poorest and most underdeveloped countries in the world, ranking low in GDP per capita, human development, measures of inequality and average life expectancy.The only official language of Mozambique is Portuguese, which is spoken mostly as a second language by about half the population. Common native languages include Makhuwa, Sena, and Swahili. The country's population of around 29 million is composed of overwhelmingly Bantu people. The largest religion in Mozambique is Christianity, with significant minorities following Islam and African traditional religions. Mozambique is a member of the United Nations, the African Union, the Commonwealth of Nations, the Organisation of the Islamic Cooperation, the Community of Portuguese Language Countries, the Non-Aligned Movement, the Southern African Development Community, and is an observer at La Francophonie.

View More On Wikipedia.org
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    CCM pelekeni Mwenge Mozambique ukalete amani. Kama Mwenge ukishindwa kupeleka amani Msumbiji, upoteze uhalali wa kukimbizwa nchini

    Mwenge wa uhuru tunaambiwa kwamba unaleta amani pasipo na amani, unaleta tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki. Tanzania tumekuwa tukitumia mabilioni ya fedha za walipa Kodi kugharamia mbio za Mwenge nchi nzima. Kwa kuwa Mozambique ni ndugu zetu wa damu, ni wakati sasa wa serikali ya...
  2. B

    Mwenyekiti Rais Samia Hassan -"SADC inatoa wito kwa pande zote Mozambique kujizuia na kujiepusha na vitendo vinavyozidisha ghasia na machafuko"

    Baada ya uchaguzi Mozambique: SADC inatoa wito wa kujizuia na mazungumzo ya "amani". 02 Januari 2025 Picha ya faili: AIM Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) jana ilihimiza kujizuia katika kukabiliana na maandamano ya baada ya uchaguzi nchini Msumbiji, ikitetea mazungumzo "ya amani...
  3. Suley2019

    Msumbiji: Wafungwa 6,000 watoroka gereza lenye ulinzi mkali wakati ghasia za Uchaguzi zikiendelea

    MAPUTO, Msumbiji (AP) — Takriban wafungwa 6,000 walitoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali katika mji mkuu wa Msumbiji siku ya Krismasi baada ya uasi, kwa mujibu wa Mkuu wa Polisi wa nchi hiyo, Bernardino Rafael. Tukio hilo limetokea wakati nchi ikikumbwa na vurugu za baada ya uchaguzi. Rafael...
  4. Mindyou

    Maandamano yazidi kushika Mozambique baada ya waandamanaji kufunga na kushikilia barabara zote za mji wa Maputo

    Kuanzia siku ya Alhamisi barabara kuu za zinzoeleke katikati ya jiji la Maputo na mji wa Matola zilikuwa kimya na zenye utulivu mno. Chawa na waandamanaji wanaomuunga mkono mgombea wa Urais Vennancio Mondlane walifunga jiji zima wakihitaji matokeo waliyoyaita ya ukweli. Kwa kawaida mji wa...
  5. Logikos

    Bendera ya Mozambique (Msumbuji), Je ni Wakati wa kutoa hii AK 47

    Hapana haujakosea hio ni bendera ya nchi na hio ni AK 47 ikiwa na Jembe..., Ndio naelewa kwamba kuna kipindi walikuwa wanapigania Mapinduzi / Uhuru hio AK ilikuwa na kazi mahususi je wakati haujafika kubadilisha hio AK na kuweka angalau kalamu iendane na hicho kitabu ? Clothes Make the...
  6. B

    Mahakama ya Kikatiba ya Msumbiji, yakubali kura zirudiwe kuhesabiwa

    07 November 2024 Maputo, Mozambique MAHAKAMA YA KIKATIBA MOZAMBIQUE YAKUBALI MAOMBI YA CHAMA CHA PODEMOS, KURA ZIRUDIWE KUHESABIWE https://m.youtube.com/watch?v=AVFt6_Ok56U Chama cha upinzani PODEMOS nchini Mozambique pamoja na cha PAO wamepeleka ushahidi wa kilo Mia tatu za ushahidi katika...
  7. and 300

    Kimenuka tayari Mozambique, watu 18 wauawa

    Vurugu baada ya uchaguzi nchini Msumbiji zimeibuka. Tayari watu 18 wameuawa. Tuchukue tahadhari kwenye mipaka (Mtambaswala) yetu na hawa jamaa. Mshindi wa Tume (FRELIMO) kajifungia ndani anasikilizia. NB: internet imezimwa kama Tungekinya 2020
  8. Ojuolegbha

    Mahmoud Thabit Kombo: Tanzania and Mozambique have worked together to bring peace and security in the Cabo Delgado region

    Tanzania's Minister of Foreign Affairs Hon. Mahmoud Thabit Kombo Says Tanzania and Mozambique have worked together to bring peace and security in the Cabo Delgado region. The region has experience sporadic attacks by militants in that area. Kombo spoke to international news editor Sophie...
  9. ChoiceVariable

    Msumbiji Wamekodisha Bandari ya Nacala Kwa Malawi & Zambia Kwa Miaka 100. Tanzania Kupoteza Mteja namba 2 wa Dar Port

    Nchi ya Mozambique imeamua kuteka biashara ya Usafirishaji Kwa njia ya Maji Kwa Nchi zote za Sadc na kuiachia Tanzania maumivu makubwa. Katika kutekeleza Hilo, Mozambique wameamua kuikodisha Bandari Yao ya Nacala Kwa Nchi ya Malawi na Zambia ambapo wataitumia Kwa kipindi Cha miaka 100 ijayo...
  10. R

    Ujio wa DP World, kuimarika kwa kundi la Ugaidi Mozambique, kudhoofu kwa Usalama Kongo na uwepo wa Alshaabaab tuviangalie kwa mapana

    Tanzania ni nchi pekee ambayo kwa sasa imekaa eneo la kimkakati ambalo lisipolindwa vyema ipo hatari mataifa ya magharibi yakapenya na kutuondolea kabisa amani iliyopo kwenye ukanda wa bahari na Afrika Mashariki. Tunapowaza kuhusu DP world kuja kiuchumi lazima pia tuangalie kiusalama. Tumeona...
  11. bahati93

    Bila shaka nchi ya Tanzania ina kinga kali sana

    Kinga iliyonayo nchi ya Tanzania dhidi ya Majanga ni kali sana, hakuna nchi ya kulinganisha nayo hapa Afrika mashariki. Haijalishi janga liwe limetokea kiasili au limesababishwa na mwanadamu, nchi yetu kwa kutumia kingo za mipaka yake imetukinga sisi watoto wake. Ukipitia twakimu kwa miaka...
  12. ndiuka

    US slaps Tanzanian with sanctions for bankrolling Mozambique terror

    US slaps Tanzanian with sanctions for bankrolling Mozambique terror The US Treasury Department’s Office of Foreign Assets Control (OFAC) has singled out four people based in South Africa as financial facilitators of the Islamic State of Iraq and Syria (Isis) and Isis-Mozambique (Isis-M). The...
  13. nyboma

    Kama majeshi ya Rwanda yaliwamaliza magaidi wa Cabo Delgado ndani ya wiki moja, hawa viongozi wetu wa ulinzi walienda kufanya nini Msumbiji?

    Hakika nimeamini vita dhidi ya ugaidi inahitaji akili kubwa mno kuliko matumizi ya nguvu, ni miezi michache tu iliyopita tulitangaziwa na kuaminishwa ya kwamba magaidi ambao walikuwa wameshikilia jimbo la Cabo delgado walipigwa na kumalizwa na jeshi kutoka rwanda. Ila hivi karibuni tena...
  14. Mohamed Said

    Wazulu wa Imhambane, Kwalikunyu - Msumbiji katika kupigania Uhuru wa Tanganyika

    WAZULU WA IMHAMBANE, MOZAMBIQUE KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Kisa hiki nimekitoa hapa hapa barzani nikizungumza na ndugu yangu Abdulkarim. "Abdulkarim, jina hasa ni Saudtz Thomas Plantan. Baba yake ni Thomas Saudtz Plantan na alikuwa Mwalimu Mkuu wa Mchikichini Primary School na...
  15. B

    RENAMO yahoji majeshi ya Afrika kuruhusiwa kuingia Mozambique

    4 August 2021 Maputo, Mozambique Chama kikuu cha upinzani RENAMO chahoji katiba kutofuatwa kwa majeshi ya kigeni ya nchi za Afrika kuingia nchini Mozambique. Hoja hiyo imewasilishwa na kiongozi wa upinzani bungeni Bw. Venâncio Mondlane Nakutaka kikao cha dharura cha Bunge kifanyike ili...
  16. Genecandy

    Msumbiji: Mafuta kuchotwa Baharini inawezekana vipi?

    Wakubwa salaam Kuna clip inasambaa kwa kasi kutoka Mozambique Mkoa wa cabo Delgado almaarufu kama Pemba wananchi wakichota kinachosemekana ni mafuta ukingoni mwa bahari Mi swali langu ni hii kitu inawezekana kweli? Yaani mafuta yachotwe bila kuchanganyika na maji naomba wajuzi watujuze jmn...
  17. Mr Putin

    Fagia Fagia huko Cabo delgado Mozambique

    RDF wakifanya yao
  18. Geza Ulole

    SA troops arrive in Mozambique to fight insurgents

    SA troops arrive in Mozambique to fight insurgents dailymaverick.co.za/article/2021-07-21-sa-troops-arrive-in-mozambique-to-fight-insurgents/amp July 21, 2021 The advance party has arrived, despite calls for the defence minister to focus her forces on South Africa’s own ‘attempted...
  19. ndiuka

    Rwandan armed forces to be deployed in Mozambique

    Shughuli imeanza kutokome magaidi
  20. Analogia Malenga

    Rais Samia aenda Msumbiji kwa kikao cha dharura cha SADC

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22 Juni, 2021 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya...
Back
Top Bottom