General elections were held in Mozambique on 15 October 2014. Filipe Nyusi, the candidate of the ruling FRELIMO, was elected president, and FRELIMO retained its parliamentary majority.
Licha ya uamuzi wa Mahakama Kuu ya Msumbiji mapema wiki hii kuthibitisha Daniel Chapo wa chama tawala cha Mozambique Liberation Front (Frelimo) kuwa mshindi wa uchaguzi wa Oktoba 9, kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane ameapa kujitangaza rais Januari 15, akidai kuwa mamlaka yake yameporwa...
MAPUTO, Msumbiji (AP) — Takriban wafungwa 6,000 walitoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali katika mji mkuu wa Msumbiji siku ya Krismasi baada ya uasi, kwa mujibu wa Mkuu wa Polisi wa nchi hiyo, Bernardino Rafael. Tukio hilo limetokea wakati nchi ikikumbwa na vurugu za baada ya uchaguzi.
Rafael...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.