Dk. Mwigulu Lameck Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango wa Tanzania akiwasili Bungeni Kusoma Bajeti ya Serikali 2021/22
I. USULI: KWA NINI NAANDIKA BANDIKO HILI?
Bandiko langu lisemalo “Rais Samia Ameanzia Mwanza Kujenga Hekalu Letu” limewafanya wachangiaji kadhaa, wakiongozwa na mwana JF...