mpasuko chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kama namuona Mchungaji Msigwa na Zitto Kabwe wanavyochekelea Chadema wakitifuana

    Wakuu mjumbe hauwawi,Msigwa anasema safari hii Mwamba kapatikana πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡ Mwamba wa ACT Wazalendo anawa zoom tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡ https://x.com/zittokabwe/status/1867117457988636793?t=u2ZhhSonhiMhl-S92nDa8A&s=19
  2. Pre GE2025 Baada ya press hii ya Lissu, ataendelea kuwa CHADEMA au watamtimua? Akifurushwa unadhani ataenda kujiunga chama gani?

    Wakuu, Kwa press hii ya Lissu si siri tena kuwa CHADEMA kuna mtufuano wa maana. Yaani Lissu kaamua kuchomoa berti. Kwa hatua hii msituambie kuwa hapa wamapenga, ndani hakuna shida, kwa hizi spana za leo Lissu kaamua liwalo na liwe. Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Mtasubiri sana...
  3. Mpasuko Chadema wiki mbili kabla ya Uchaguzi

    Yapo madai kwamba mikutano mwingine ya Chadema inaruhusiwa na Polisi lakini baadaye Polisi wanaizuia kutokana na shinikizo kutoka ndani ya Chadema. Sasa tunakwenda kwenye huu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa: matumaini yangu ni kwamba itakuwa Uchaguzi wa amani. Huu ni Uchaguzi ambao utaonyesha...
  4. M

    Pre GE2025 Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu

    Kuna watu hapa hawasalimiani, Lema mpaka anakimbia anaogopa kugombea kanda, shughuli ya mitandaoni hiyo, katandikwa mtandaoni mwenyekiti wa kanda mwenye mamlaka ya kanda yake, kiongozi wenu, wako viongozi ambao ni wa kawaida kabisa wa majimbo, wa wilaya, wananchama wa kawaida wanaweza...
  5. J

    Pre GE2025 Mbowe: Kuna Watu wanasema Nina mgogoro na Tundu Lissu nawaambia Watasubiri sana, Chopa inaanza operation Karatu na Nitakuwa na Tundu Lissu!

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe amesema wale wanaodhani ana mgogoro na Tundu Antipas Lissu na wanasema CHADEMA imepasuka Watasubiri sana. Mbowe amesema Chopa inaanza operation Jimbo la Karatu na ndani ya Chopa atakuwemo yeye Mbowe na Tundu Lissu. Mlale Unono πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ”₯ ====== Freeman Mbowe akikanusha...
  6. Kwa wale vijana ambao hawakushuhudia NCCR ikisambaratika, sasa angalieni CHADEMA, kinakufa kifo cha mende

    Tulioshuhudia NCCR ikisambaratika kama tikiti maji lililotupwa kutoka ghorofa ya 50, sasa, kwa macho yao, watashuhudia anguko la chadema. Chama hicho ambacho kinajinasibu kwa kula rushwa, kimejikuta kikining'inia kwenye uzi mwembamba, na ni dhahiri kitapasuka. Pia soma CHADEMA itaingia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…