Habari!
Nimeleta huu uzi kwa maana vilio vimekua ni vingi mara usimuamini Mwanamke, mara Wanaume wote Malaya.
Sa sikieni one day kuna mshikaji wangu nilimuuliza mbona una demu mmoja unajiamini Nini.
Jamaa anilipa jibu Moja ambalo Hadi Leo lilinijenga aliniambia sikia mwanangu Gizoo.
Mi...
Salaam wakuu,
Imenibidi nihoji maana generetion yetu sio poa.sio walio kwenye ndoa sio walio kwenye mahusiano ya kawaida, sio wachumba kukosa uaminifu imekuwa kitu Cha kawaida sana.hadi naogopa.
Kuna visa nimesoma na kushuhudia vingi,zaidi sana matukio vinanifikirisha
Kucheat imekuwa kitu Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.