Kilichotokea Kenya ni fundisho kwa wengine. Tuliache hilo.
Mwanamke mpe hela, hasa yule unayetarajia kuishi naye. Mpe hela kisha tazama matumizi yake au ushauri wake kwenye pesa zako.
Hii ya kujifanya fukara ili kupima uvumilivu wake ni mbinu mfu. Eti unataka kujua siku ukiishiwa itakuwaje...