mpina azuiwa vikao 15 vya bunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Spika na Bunge kwa ujumla wanastahili pongezi kwa kutoa adhabu Kkali kwa Luhaga Mpina

    Wakuu narudia tena, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu mchapa kazi wa wakati huo Edward Lowassa aliundiwa zengwe na wabunge wahuni akina Arison Mwakiembe. Spika wa wakati huo Samweli sitta bila kutafakari akawapa go ahead wahuni hao kutangaza uongo wao na kama kawaida ya uongo unaposemwa sana...
  2. M

    Luhaga Mpina, kwanini umewaroga Watanzania?

    Tangu hukumu ya Mpina itolewe pale Bungeni, vijiwe na maeneo yote yenye mikusanyiko wanamlilia Mpina na wamewachukia kabisa wanaojiita Wabunge. Zaidi ya 98% wanaona Mpina hakutendewa haki. Zaidi sana wameichukia serikali hii kwa kiwango kisichoelezeka, hasa kwa kosa la kuwakumbatia MAFISADI...
  3. K

    Daima mimi nitasimama upande wa Luhaga Mpina

    Mbunge Luhaga Mpina amesimamishwa kushiriki vikao kumi na tano vya Bunge, lakini mimi nitasimama upande wake daima. Mpina ni mtoa taarifa muhimu kuhusu jambo ambalo wengi hawalijui, na hivyo ingekuwa vyema Bunge likaunda Kamati ya kuchunguza ukweli wa jambo hili. Je, inakuwaje Waziri Bashe...
  4. S

    Adhabu ya Bunge kwa Mpina inatoa taswira halisi jinsi gani Bunge na serikali ya Tanzania inavyowaona wananchi

    Bunge limtoa adhabu ya juu kabisa kwa kile kinachoonwa ni dharau ya Mpina kwa Spika wa Bunge. Na kwa kifupi sana, bila kutoa maelezo kamati ya maadili imetamka kwamba Bashe hakusema uongo, ikimaanisha kwamba ushahidi alioutoa Bashe, ambao uko wazi sana ni jinsi gani Bashe alidanganya, unaonwa...
  5. Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

    Kwa mujibu wa Kanuni ya Bunge #84 (3) (a) ya mwaka 2023 amekutwa na hatia na Kamati ya Hadhi na Madaraka ya Bunge. Tuendelee kufuatilia bunge ≈===================== "Mheshimiwa Luhaga Mpina (Mbunge wa Kisesa) alimtuhumu Mheshimiwa Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) kuwa amelidanganya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…