mpina kamati ya maadili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Pre GE2025 Operation Safisha Bunge 2025

    Bunge la Jamhuri ya Muungano limekuwa sawa na Pango la Wanyanganyi na ni hatari kwa Usalama wa taifa na amani yetu. Leo tarehe 24/06/2024 Bunge limekaa kikao kujadili kinachoitwa Utovu wa nidhamu wa mbunge aliyehoji Kampuni isiyoweza kukopesheka hata mkopo wa million 5 kupewa kibali cha kuagiza...
  2. Cute Wife

    Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi: Spika Tulia anataka kuzuia kilichoibuliwa na Mpina kisijadiliwe na bunge wala wananchi, aache mijadala ifanyike

    Katika mahojiano yake na mwandishi wa Habari Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi, Joseph Selaasini amesema; "Mpina aliliona hili, sababu alikuwa akipata upinzani wakati anaongelea suala hili bungeni, sio tu kutoka kwa spika bali hata kutoka kwa wabunge wenzake. Kwa maslahi ya nchi aliona alipeleke...
  3. Bams

    Wabunge wenye Hekima, waazimie kumfukuza Spika Tulia

    Nchi hii, kuna watu wengi wenye elimu nzuri na akili pia, LAKINI unafiki wao na uchawa vimewafanya wapoteze weledi na akili ya reasoning na argument, kiasi cha kuwafanya waonekane kama ni watu wasio na weledi wala uelewa. Tambueni kuwa Spika Tulia ni mwanasheria, tena mwenye shahada tatu kwenye...
  4. Hardbody

    Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

    Hili sakata wakati nasoma uzi humu kwa mara ya kwanza nilikuwa sijalielewa lilivyo. Nikasema acha nizame U-tube kujua likovipi ndio nikapata kuelewa mwanzo, kati na mwisho ulivyo hebu twende pamoja kwa ambaye hajaelewa kama mimi kwa Lugha nyepesi Iko hivi waziri wa kilimo wakati anawasilisha...
  5. T

    Jicho la tatu sakata la Mpina vs Bashe na hasira ya Spika Tulia

    Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote. Kwanza tuanze kwanini Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je, chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani. Awali ya yote ni lazima mjue Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu...
  6. Chakaza

    Kuwaburuza wabunge wanaojitambua ni kuburuza wananchi, sasa Dkt. Tulia naye tumpeleke kwa wananchi ashughulikiwe

    Kinachomtokea Mbunge Mpina katika hili sakata la maumivu ya Sukari na ushiriki wa Waziri Bashe na hujuma zake ni wazi ni njama za Spika wa Bunge Dr Tulia kushirikiana na serikali kuwafunga mdomo wabunge wazalendo na watetezi wetu Bungeni. Spika kajitoa katika uwakilishi wa wananchi kama...
  7. Roving Journalist

    Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia

    Luhaga Mpina anazingumza na Waandishi wa Habari kuhusu kinachoendelea kati yake na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuhusu hoja ya sukari ambayo ilianzia Bungeni. ====== Mpina asema wakati wa Mjadala wa kupisha makadirio ya mapato na matumizi aliagizwa na Spika wa Bunge kupeleka ushahidi wa...
Back
Top Bottom