mpira kutumika kisiasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Viongozi wa serikali waache ushabiki wa mpira uliopitiliza

    Hawa wakuu wa wilaya na mkoa kufanya ushabiki wa hizi timu kubwa uliopitiliza kiasi cha kuwachukulia timu asiyoipenda kama chama pinzani cha siasa kutahatarisha amani ya nchi hii. Kuna mstari hawa viongozi wanataka kuvuka na Mungu asipowaongoza kwa hekma,watasababisha shida kubwa.Soka ni kama dini
  2. Mhaya

    Pre GE2025 Simba na Yanga hutumika kuzima vuguvugu au kusahaulisha wananchi changamoto zao za kijamii

    Katika nchi yetu ya Tanzania, kama ilivyo katika nchi nyingi nyingine, michezo, hasa mpira wa miguu, ina nguvu kubwa katika kuvutia na kuunganisha watu. Timu za mpira wa miguu kama Simba na Yanga huvuta umakini wa kitaifa na mara nyingi hata kimataifa. Vyombo vya habari na wananchi kwa ujumla...
Back
Top Bottom