mpox

Monkeypox, also known as mpox, is an infectious viral disease that can occur in humans and some other animals. Symptoms include fever, swollen lymph nodes, and a rash that forms blisters and then crusts over. The time from exposure to onset of symptoms ranges from five to twenty-one days. The duration of symptoms is typically two to four weeks. There may be mild symptoms, and it may occur without any symptoms being apparent. The classic presentation of fever and muscle pains, followed by swollen glands, with lesions all at the same stage, has not been found to be common to all outbreaks. Cases may be severe, especially in children, pregnant women or people with suppressed immune systems.The disease is caused by the monkeypox virus, a zoonotic virus in the genus Orthopoxvirus. The variola virus, the causative agent of smallpox, is also in this genus. Of the two types in humans, clade II (formerly West African clade) causes a less severe disease than the Central African (Congo basin) type. It may spread from infected animals by handling infected meat or via bites or scratches. Human-to-human transmission can occur through exposure to infected body fluids or contaminated objects, by small droplets, and possibly through the airborne route. People can spread the virus from the onset of symptoms until all the lesions have scabbed and fallen off; with some evidence of spread for more than a week after lesions have crusted. Diagnosis can be confirmed by testing a lesion for the virus's DNA.There is no known cure. A study in 1988 found that the smallpox vaccine was around 85% protective in preventing infection in close contacts and in lessening the severity of the disease. A newer smallpox and monkeypox vaccine based on modified vaccinia Ankara has been approved, but with limited availability. Other measures include regular hand washing and avoiding sick people and animals. Antiviral drugs, cidofovir and tecovirimat, vaccinia immune globulin and the smallpox vaccine may be used during outbreaks. The illness is usually mild and most of those infected will recover within a few weeks without treatment. Estimates of the risk of death vary from 1% to 10%, although few deaths as a consequence of monkeypox have been recorded since 2017.Several species of mammals are suspected to act as a natural reservoir of the virus. Although it was once thought to be uncommon in humans, the quantity and severity of outbreaks has significantly increased since the 1980s, possibly as a result of waning immunity since the stopping of routine smallpox vaccination. The first cases in humans were found in 1970 in the Democratic Republic of the Congo (DRC). There have been sporadic cases in Central and West Africa, and it is endemic in the DRC. The 2022 monkeypox outbreak represents the first incidence of widespread community transmission outside of Africa, which was initially identified in the United Kingdom in May 2022, with subsequent cases confirmed in at least 74 countries in all continents except Antarctica. On 23 July 2022, the World Health Organization (WHO) declared the outbreak a Public Health Emergency of International Concern (PHEIC) with more than 53,000 reported cases in 75 countries and territories.

View More On Wikipedia.org
  1. TZ-1

    TUPEANE TAARIFA JUU YA HALI YA HOMA/UGONJWA WA MPOX , IWE TAARFA YA KUUONA MGONJWA AU KAMA WEW MGONJWA KUNA WATU BADO WANAZANI NI TETESI

    Homa ya Mpox (Monkeypox) ni ugonjwa wa virusi unaosababishwa na virusi vya Monkeypox. Ugonjwa huu unafanana na smallpox, lakini kwa kawaida ni wa wastani na hujumuisha dalili kama vile homa, maumivu ya kichwa, uchovu, na vidonda kwenye ngozi. Virusi vya monkeypox vinaenezwa kupitia kwa kugusa...
  2. The Watchman

    Daktari aonya madada poa hatarini kuwa na MPOX

    Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani nchini (mpox), Daktari Godfrey Mtunzi Kutoka Manispaa ya Iringa Amesema Makundi ya Watu waliopo hatarini kupata Ugonjwa wa Mpox Ni Madada Poa Wazee Watoto na Wasafiri na kushauri wawe makini kuweza kujikinga na ugonjwa Huu wa mpox.
  3. The Watchman

    Iringa: Wawili wahofiwa kuwa na MPox, Daktari atoa tahadhari

    Wizara ya Afya Tanzania ingetoa takwimu za ukweli watu wakachukua tahadhari kuliko kusema kuna watu wawili halafu watu wanaibuka kutoka sehemu mbalimbali wakiwa wanaumwa na kupika kauli hiyo. == Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani nchini (mpox), Daktari Godfrey Mtunzi Kutoka Manispaa...
  4. The Watchman

    Iringa: Watu wawili washukiwa kuwa na ugonjwa wa MPOX, tuchukue tahadhari

    Wizara ya Afya Tanzania ingetoa takwimu za ukweli watu wakachukua tahadhari kuliko kusema kuna watu wawili halafu watu wanaibuka kutoka sehemu mbalimbali wakiwa wanaumwa na kupika kauli hiyo. == Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani nchini (mpox), Daktari Godfrey Mtunzi Kutoka Manispaa...
  5. Inside10

    Serikali yathibitisha wagonjwa wawili wa mpox

    https://www.instagram.com/p/DHBi8BvC2pD/?igsh=MWxlODZ3N3VsZDgwbw==
  6. Cute Wife

    Wizara ya Afya yathibitisha uwepo wa wagonjwa wawili wa Mpox nchini

    Wakuu, Ila kwenye ile video jamaa alisema wapo wengi hapo hospitali, serikali inasema watu 2!🤔🤔 Pia soma: Huu ni ugonjwa gani? Wizara ya Afya semeni kitu ===== TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UGONJWA WA MPOX NCHINI Tarehe: 10 Machi, 2025, DODOMA Mnamo tarehe 7 Machi, 2025 Wizara ya Afya kupitia...
  7. Cute Wife

    DOKEZO Huu ni ugonjwa gani? Wizara ya Afya semeni kitu

    Wakuu, Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai. Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu. Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana...
  8. Dalton elijah

    Vifo kutokana Mpox Vyafikia 10 Nchini Uganda

    Idadi ya vifo vilivyothibitishwa na maabara vya ugonjwa wa mpox nchini Uganda imepanda hadi 10 baada ya vifo vinne kusajiliwa katika siku tano zilizopita, kulingana na mamlaka. Katika ripoti ya sasisho la hali iliyotolewa siku ya Jumatatu, Wizara ya Afya ya Uganda ilisema angalau maambukizo...
  9. Miss Zomboko

    Maambukizi ya Mpox yafikia Visa 800 na Vifo 4 Nchini Uganda

    Ofisi ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) nchini Uganda imesema visa vya Mpox nchini humo vimezidi 800, ongezeko kutoka jumla ya visa 495 vilivyoripotiwa kufikia Novemba 20. The World Health Organisation (WHO) country office has said Mpox cases in Uganda have surpassed 800, an increase from a...
  10. W

    Marekani kutoa Chanjo 10,000 za MPox Nchini Nigeria

    Marekani imetoa dozi 10,000 za chanjo ya MPox kupitia Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) ikiwa ni kundi la kwanza la chanjo hiyo kufikishwa baada ya visa 40 vya kuripotiwa nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa ya USAID Serikali ya Nigeria imeamua kuyapa kipaumbele majimbo matano...
  11. M

    DRC: Asilimia 75% ya walioathirika zaidi na Homa ya nyani ni watoto chini ya umri miaka 10

    Takwimu iliyotolewa na jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani (Mpox) ya mwaka 2024 ikiwa ni zaidi ya vifo 450. asilimia 75% ya walioathirika zaidi na ugonjwa huo ni watoto chini ya umri miaka 10. Soma Pia: Kuna mlipuko wa ungonjwa wa Homa ya Nyani (MPox)...
  12. Gemini AI

    Ujerumani Kuisaidia Afrika Dozi 100,000 za Chanjo ya Mpox

    Ujerumani itatoa dozi 100,000 za chanjo ya mpox kutoka kwa hisa zake za kijeshi kusaidia kudhibiti mlipuko katika bara la Afrika katika muda mfupi na pia kutoa msaada kwa nchi zilizoathiriwa. Serikali italipatia Shirika la Afya Duniani rasilimali za kifedha kupitia vyombo mbalimbali vya...
  13. Gemini AI

    Kenya yaripoti Kisa cha pili cha Mgonjwa wa MPOX

    Wizara ya Afya imethibitisha kisa cha pili cha Mpox katika kituo cha mpakani cha Malaba katika Kaunti ya Busia. Katika taarifa yake siku ya Ijumaa, Katibu wa Baraza la Mawaziri la Afya Dkt. Deborah Barasa alitangaza kwamba mtu husika, dereva wa lori mwanamume mwenye historia ya kusafiri hadi...
  14. USSR

    Uko tayari kuchanja kinga ya MPOX?

    CDC italeta Afrika dozi milioni 10 ya MPOX na kupelekea moja kwa moja nchini Congo (DR) huku mipaka ya Tanzania ikianza ukaguzi kwa mujibu wa waziri wa afya mhagama . Iwapo Marekani itaongeza dozi ni kuwa italazimika kuchanja kabla ya kuvuka mipaka , ugonjwa wa MPOX ni mpya sana kwa baadhi ya...
  15. Cute Wife

    Serikali yatoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Mpox

    Wakuu, TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TISHIO LA UGONJWA WA MPOX Agosti 17, 2024, Dodoma. Ndugu wananchi, Itakumbukwa kwamba, Wizara ya Afya ilitoa tadhadhari kwa umma kuhusu ugonjwa wa Mpox mnamo tarehe 3 Agosti 2024. Katika kipindi chote, Wizara imeendelea kufuatilia kwa karibu mwenendo wa ugonjwa...
  16. W

    WHO: Mlipuko wa Ugonjwa wa Mpox ni janga la Kiafya la Kimataifa

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani la Umoja wa Mataifa (WHO),Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema kuwa Mlipuko wa Mpox si janga la Afrika pekee bali ni la kimataifa katika mkutano wa kamati ya dharura ya shirika hilo Agosti 14, 2024. Kwa mara ya pili tangu mwaka 2022, ugonjwa umetangazwa...
  17. Suley2019

    Homa ya nyani (Monkeypox) yaibuka tena Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo. Watoto wadaiwa kuathirika zaidi

    Aina hatari ya homa ya nyani (mpox) inayowaua watoto na kusababisha mimba kutoka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndiyo inayoweza kuambukiza zaidi na inaweza kusambaa kimataifa, wanasayansi wameonya. Virusi hivi vinaonekana kusambaa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kupitia mawasiliano...
  18. Sildenafil Citrate

    Homa ya Nyani (Mpox) sio tena Janga la Dharura ya Kimataifa

    Shirika la Afya Duniani (WHO) leo Mei 11, 2023 limetangaza rasmi kuwa Ugonjwa wa Homa ya Nyani (Mpox) sio tena janga la Dharura ya Kimataifa. Taarifa hii inakuja siku moja baada ya kamati ya Dharura ya ugonjwa huo kuketi na kutoa tathimini kuwa kwa sasa ugonjwa huo haustahili tena kuwa...
  19. BARD AI

    WHO yabadili rasmi jina la Monkeypox kuwa Mpox

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limechukua uamuzi huo baada kushauriana na wataalamu kutokana na uwepo wa malalamiko kwamba jina la sasa lina Ubaguzi wa Rangi na Unyanyapaa. WHO imehimiza mashirika yote yanayotoa hudua za Afya duniani kote pamoja na vyombo vya habari kuanza kutumia jina hilo...
Back
Top Bottom