mpox tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Maaskofu Kanisa Katoliki watoa utaratibu wa Misa kujikinga na Ugonjwa wa Mpox

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa utaratibu wa misa zake ikiwemo kusitisha kupeana amani kwa mikono ili kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox (homa ya nyani). TEC inechukua hatua hiyo ikiwa ni siku moja baada ya Serikali kupitia Wizara ya Afya...
  2. Wizara ya Afya yathibitisha uwepo wa wagonjwa wawili wa Mpox nchini

    Wakuu, Ila kwenye ile video jamaa alisema wapo wengi hapo hospitali, serikali inasema watu 2!🤔🤔 Pia soma: Huu ni ugonjwa gani? Wizara ya Afya semeni kitu ===== TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UGONJWA WA MPOX NCHINI Tarehe: 10 Machi, 2025, DODOMA Mnamo tarehe 7 Machi, 2025 Wizara ya Afya kupitia...
  3. DOKEZO Huu ni ugonjwa gani? Wizara ya Afya semeni kitu

    Wakuu, Kuna hii video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii, huyo jamaa anasema wako katika hospitali maeneo ya kipawa majani ya chai. Ambako yeye na wengine wanaumwa ugonjwa kama huo wametengwa, hawaruhusiwi kuonana na watu. Kuna ka ujumbe kanapita kanasema tuache kupeana mikono hovyo, maana...
  4. Serikali yatoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Mpox

    Wakuu, TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TISHIO LA UGONJWA WA MPOX Agosti 17, 2024, Dodoma. Ndugu wananchi, Itakumbukwa kwamba, Wizara ya Afya ilitoa tadhadhari kwa umma kuhusu ugonjwa wa Mpox mnamo tarehe 3 Agosti 2024. Katika kipindi chote, Wizara imeendelea kufuatilia kwa karibu mwenendo wa ugonjwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…