Mr. Manguruwe yamemkuta huko.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kwa jina la Dkt. Manguruwe na mwenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiballiwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka 28.
Katika kesi hiyo, Mkondya...
Hivi huyu Manguruwe ni nani na katokea wapi? lengo lake nini?
Leo kakutana na kipondo cha Dudu baya kwa madai ya kumkashifu.
---
Siku chache baada ya mfanyabiashara na mmiliki wa mradi wa kijiji cha nguruwe, Saimon Mkondya kumsemea mbovu msanii mkongwe nchini Dudubaya, msanii huyo amemtimbia...
Jamaa aliyepata umaarufu mitandao kwa uuzaji wa Kitimoto alimaarufu kama nguruwe atimbiwa na Bodi ya Nyama iliyochini ya Serikali. Bodi hiyo imefika katika eneo la Bwana huyo ambaye pia ni maarufu kwa jina la Mr. Manguruwe na kukagua maneno ya banda hilo la nguruwe. Alianza kupata umaarufu baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.