Kata ya Ruzinga wilaya ya Missenyi Mkoa wa Kagera kuna mradi wa maji haujawahi kamilika toka mwaka 2012 hadi watu washachoka kulalamika maana ukijaribu kufuatilia taarifa zinasema mradi ushakamilika ila kiuhalisia maji yanayotoka hayatoshi.
Mara nyingi huwa yanatoka tu pale kama kuna kiongozi...
Anonymous
Thread
mkoa wa kagera
mradiwamajimradiwamajikatayaruzinga