KAZI YAKAMILIKA UTEKELEZAJI MRADI WA MAJI SAME-MWANGA
Mradi wa Maji Same-Mwanga maelekezo ya Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia makamu wa Rais Mhe Dkt Philip Isidor Mpango kwamba kazi ikamilike mwishoni mwa mwezi wa sita sasa yametimia.
Tone la kwanza...