msaada wa chakula

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Dkt. Tulia kuijengea nyumba familia yenye uhitaji Kyela, atoa msaada wa chakula na mavazi

    Taasisi ya Tulia Trust Chini ya Mkurugenzi wake ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson yapeleka Tabasamu kwa Familia ya Obed Ambonisye Mwalopale. Nyumba ya Familia ya Obed...
  2. MNEC Ruvuma atoa msaada wa Chakula kwa wahanga wa maafa ya mvua

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma, Hemed Chale, ametoa msaada wa chakula kwa wahanga wa maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha tarehe 28 Desemba 2024 na tarehe 2 Januari 2025 wilayani Songea, mkoani Ruvuma. Mvua hizo zilileta uharibifu mkubwa wa...
  3. Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui.. Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje, kwanini kiletwe toka marekani? Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani? Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…