Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amepongeza juhudi za Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha haki inapatikana kwa wote kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia.
Akizungumza Alhamisi, Machi 6, 2025, katika Uwanja wa TBA jijini Arusha, Makonda amebainisha kuwa...