msada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hammer11

    Naomba kusaidiwa kutoa matangazo kwenye hii simu app zina matangazo

    Naomba kusaidiwa kutoa matangazo kwenye hii simu app zina matangazo sana simu ni Samsung galaxy a05
  2. JogooKidevu

    Naomba msada wa Memorandum and Articles of Association ya CONSULTANT AND GENERAL BROKERS LIMITED

    Habari?naomba msada wa Memorandum and Articles of Association ya CONSULTANT AND GENERAL BROKERS LIMITED.
  3. Ibrahim hamadi

    Natafuta kazi ya Udereva

    Habar za muda huu Asalem aleykum, Ndugu jama na marafiki nipo hapo Leo kuelezea changamoto yangu kwenu nipo hapa kuomba Kazi za udereva wa kumuendesha mtu, taasisi yoyote ile hatakama ipo gari ya Uber. Niko tayari kufanya mana hiyo Kazi nimesha fanya na account zote ninazo za Kazi. Naomba...
  4. Olsea

    Msada taa ya nyuma

    Habarini wadau,naomba msaada kwa yeyote ambae anaweza kuwa na mawasiliano ya sehemu ambayo naweza nikapata taa ya nyuma upande wa dereva ya gari aina ya Toyota Belta,leo nimejikuta nagonga mti wakati narudi nyuma.Natanguliza shukran kwa yeyote atakaesaidia.
  5. akatiwanya

    KERO Tigopesa wamelipia huduma kutoka kwenye akaunti yangu bila idhini yangu

    Tar 03/11/2024 niliweka Tsh.20,000/= kwenye account yangu ya tigo pesa, tar 04/11/2024 asubuhi nikakutana na hii, 👇👇 Dear Customer, you have Successfully done Payment for Google play store. Nilivyoona hiyo text nikaenda kwenye account yangu ya tigo nikakuta kweupe...
  6. Drc congo

    Msaada tafadhali: Kuhusu kufanya tendo la ndoa na mke ambaye alijifungua baada ya mwezi mmoja

    Habari za asubuhi ndugu zangu, Naomba kufahamu kuhusu kufanya tendo la ndoa na mke ambaye alijifungua baada ya mwezi mmoja. Hivi kuna madhara yoyote kwa upande wa mtoto wala kwa mama?
Back
Top Bottom