msafara rais samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. dorge

    Leo nimemshuhudia Rais Samia kwa macho yangu akitokea kwetu,kule mapenzi yalikozaliwa. Nimeona jambo na nafsi yangu imepoaaa

    Mambo matatu ya kipekee kwenye msafara wako mama. 1 . Msafara wenye magari machache. Ni mara chache kuona si kwenye video, na misafara mbalimbali magari kama kufuru. Msafara wako ulinivua sana. 2. Mwendo wa kistaarabu. Kwa mwendo ule hakika nchinilo.salama salimini. Hata Mwenyezi Mungu...
  2. Not_James_bond

    Je, Msafara wa Rais wenye Magari 118 ni Uwajibikaji?

    Katika nchi nyingi za Kiafrika, viongozi wa kisiasa wamekuwa wakikabiliwa na maswali na ukosoaji kuhusu matumizi ya rasilimali za umma. Moja ya mambo yanayozua mjadala mkali ni ukubwa wa misafara ya raisi, ambayo mara nyingi inajumuisha idadi kubwa ya magari. Hivi karibuni, suala hili...
  3. figganigga

    Nini kifanyike ili Viongozi wa Tanzania wapunguze Magari kwenye misafara yao? Ni aibu

    Salaam Wakuu, Ni aibu kubwa mbele ya Dunia kuna Misafara ya Viongozi wa Tanzania inavyokuwa Mikubwa. Magari Zaidi ya 300 yanamfuata Mtu Mmoja tu. Magari ya Ulinzi sina tatizo nalo, ila magari ya Watu eti Waziri, Katibu, Mkurugenzi Mkuu wa Mkoa na Wilaya, IGP, nk wote kila mtu anaenda na gari...
Back
Top Bottom